Lete aya bana.Ismael jiengeze bhana!
Aya unayoitaka wewe haipo.
Kama wewe ni muelewa nijibu ule mfano utajua Allah ni nani. Au umeusahau?
Wacha nikukumbushe.
Hakuna Mungu ila Allah.
Hakuna mjinga ila Ishmael. Jee Ismael ni nani hapo?
Ukishindwa tena, kujibu swali hilo wakati ni wewe ndie niliekuuliza mwanzo, nikutakie tu jioni njema na tukutane ktk mjadala mwengine.
Hujaziona hizo aya alizo quote kutoka kwenye quran au mwenzetu umekuwa kipofu ghafla! Je hizo aya zipo au hazipo kwenye quran? Unazipenda au huzipendi? Je waweza kufafanua ututhibitishie leo kuwa 6=8!!? au 1,000=50,000!!? Kyupi kitakubana leo!
mkiambiwa imani ya dini ni mambo ya kiroho sio ya kushindana kwa hoja hamkubali.... haya sasa faiza mjibu ishmael kuhusu huo mkoroganyo wa hesabu kwenye quoran tukufu.
Naona uliyechangyikiwa ni wewe na huyo mwenzako, hajui aulizalo ni nini na shida yake ni nini? mbona hayo ni mambo madogo sana na majibu yake yako wazi kabisa, kwanza bwabwajeni mkichoka muulize, ni nini msichokielewa ili tuwafahamishe.
Hii hapa ndio kazi njema ya Mtume Paulo anaye wanyima usingiziHuelewi ulichokisoma, labda nikuulize swali moja duchu sana, Unajuwa maana ya light year kisayansi? Sasa kama unajuwa jiulize, kulikoni?
Jee, calendar aina ngapi uzijuzo hapa duniani?
Haya sasa tufahamishe kwanini kuna tofauti kwenye hiyo hesabu kwa siku za uumbaji wa dunia! naam...,usiteleze au kuepa kama kawaida tueleze!Naona uliyechangyikiwa ni wewe na huyo mwenzako, hajui aulizalo ni nini na shida yake ni nini? mbona hayo ni mambo madogo sana na majibu yake yako wazi kabisa, kwanza bwabwajeni mkichoka muulize, ni nini msichokielewa ili tuwafahamishe.
badala ya kujibu hoja unaleta vihoja! Haya nimesoma shule ya masjid quba na al muntazir seminary!Umesoma shule gani?
too much beating around the bush! Umeshindwa kujibu hoja umebaki kuuliza maswali ya kitoto ambayo hata mwanafunzi wa grade one primary school akifungua dictionary au aki google anakupa jibu! Ningekuona wa maana kama ungeondoa hizo contradictions za quran kwa kuhusianisha na light year tuone kama inaleta mantiki au la! Mmeshikwa pabaya na sidhani leo kama wanazuoni wenu watapata usingizi kwa jinsi mnavowasumbua mpate cha kujibu! Bado kyupi kimekubana, jibu hoja acha maswali.Huelewi ulichokisoma, labda nikuulize swali moja duchu sana, Unajuwa maana ya light year kisayansi? Sasa kama unajuwa jiulize, kulikoni?Jee, calendar aina ngapi uzijuzo hapa duniani?
too much beating around the bush! Umeshindwa kujibu hoja umebaki kuuliza maswali ya kitoto ambayo hata mwanafunzi wa grade one primary school akifungua dictionary au aki google anakupa jibu! Ningekuona wa maana kama ungeondoa hizo contradictions za quran kwa kuhusianisha na light year tuone kama inaleta mantiki au la! Mmeshikwa pabaya na sidhani leo kama wanazuoni wenu watapata usingizi kwa jinsi mnavowasumbua mpate cha kujibu! Bado kyupi kimekubana, jibu hoja acha maswali.
Maswali ya kitoto ni hayo yenu, nimeona upuuzi kujibu upuuzi, swali linajibiwa miaka nenda miaka rudi, hivi mnasoma majibu?
Ili kukuonesha kuwa wewe ni puguani kama huyo mwenzako nakuwekea kipande kidogo tu hapa, kuhusu swali hilo lilivyojibiwa huko alikolitoa na link ntakupa ukajisomee. Mna macho lakini hayaoni, mna masikio lakini hayasikii.
Jisomee mada halafu useme hilo swali la kijinga ambalo wewe kwa ujinga wako umeliona la maana lina uhusiano upi na mada?
Detailed rebuttals to the so called "Errors" in the Noble Quran:
The following Anti-Islamic claims are from http://www.answering-islam.org/Quran/Contra/index.html. 95% of those Anti-Islamic claims are very silly. In my opinion, they are not even worth responding to. But unfortunately, they have to be responded to because the Muslims and the non-Muslims need to learn about what both sides have to say.
Kajisomee: Detailed rebuttals to the so called "Errors" in the Noble Quran.
Maana nyinyi mkiona mmeshindwa hoja mnaanza kubwabwaja na kuhororoja na kuleta mambo ya kijinga yaliyoulizwa na wajinga wenzenu si kwa kutaka kuelewa bali kwa kutaka ushidani usiokuwepo na yameshajibiwa kama uonavyo hapo juu.
Sisi tutaendelea kuwapa darsa, halafu mkikaa mjifikirie, maana ukweli unauma na tunajuwa ukweli unawauma sana lakini ndio hivyo tena mioyo yenu imejaa maradhi na hamna zaidi ila ni kuzidishiwa tu hayo maradhi.
Allah anao mfano.
ALLAH ALIUGUA MACHO:
"Wakati mmoja macho ya Allah yalikuwa yanauma, na Malaika walikwenda kumuona, na kwamba Allah alitokwa na Machozi, kwa ajili ya Mafuriko ya Nabii Nuhu mpaka macho yake yakawa mekundu. (Al Milal Wannihal J. 1 uk. 141)
Allah has hands; He created Adam with His own hands (38:75, 48:10).
038.075
YUSUFALI: (Allah) said: "O Iblis! What prevents thee from prostrating thyself to one whom I have created with my hands? Art thou haughty? Or art thou one of the high (and mighty) ones?"
048.010
YUSUFALI: Verily those who plight their fealty to thee do no less than plight their fealty to Allah: the Hand of Allah is over their hands: then anyone who violates his oath, does so to the harm of his own soul, and any one who fulfils what he has covenanted with Allah,- Allah will soon grant him a great Reward.
Adam is the image of Allah (Sahih Muslim, 32.6325)
Book 032, Number 6325:
This hadith has been transmitted on the authority of Abu Huraira and in the hadith transmitted on the authority of Ibn Hatim Allah's Apostle (may peace be upon him) is reported to have said: When any one of you fights with his brother, he should avoid his face for Allah created Adam in His own image.
Kumbe Allah anafanana na binadamu.
Hata hukupaswa kumjibu huyo jamaa nimegundua ni IQ ndogo ndo tatizo.....
Allah ni Allah.
Mungu kwa Kiarabu ni Ilaha
Big Bang ni wazo la Evolutionists kujaribu toa maelezo ya asili ya ulimwengu.So njia hatari waliyochagua hao waandishi na wasomi wa kiislam wanaokimbizana kutaka iweka Quran ktk kila tukio la ulimwengu.Perfection ya Position ya dunia na sayari nyingi zinazofanana na dunia.Kunafanya astronomers kuwa watuw aongo kuliko wengine ktk taaluma.Kitu wasichoweza kielezea hutoa matamshi tuu,na kwa vile wanajificha ktk reputation zao basi dunia inaburuzwa.
wachana na hii mambo, dini na sayansi wapi na wapi. wasomi wa dini ya kislaam kwa kuona nguvu ya sayansi hujaribu kuhalalisha quoran kwa hoja za kisayansi kitu ambacho hakiwezekani.