Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 654
kwanza nashukuru kwa kunipa hizo links ili nijisomee nadhani ulifikiri mimi ni mvivu wa kusoma kama watu wengine la hasha, ninapotafuta uhakika huwa nakomaa hasa kama nilivokamaa usiku mzima na sasa alfajir hii nakupa majibu yako, kwanza hizo links ulizonipa zimejaa maelezo ya wanazuoni ambao nao wanajicontradict wenyewe, hawajiamini katika maelezo yao, hata wanachokieleza wanakihofia na ndo maana hata wewe uliyetoa hiyo link kama ulisoma au la hayo maelezo ya wanazuoni wako wachovu na wababaishaji umeshindwa kuja na ufafanuzi japo mfupi tu kuhusu suala hilo, umejitia kumention suala la light year ili kujenga hoja yako jambo ambalo hao wanazuoni wako hata hawajaligusia, ,maelezo yamejaa kigugumizi na dhana za kufikirika na hao matutusa wenzako wanaokupa like na kukuuunga mkono ni mashabiki mandazi tu ambao hawajatumia muda wao kusoma na kufanya utafiti na laiti wangefanya hivyo wangegundua kwamba hizo contradictions hazifutiki kwa maelezo yoyote yenye kuleta mantiki! Lady you are still beating around the bush while your wanazuonis are beating the bush around thinking you are doing different thing!!?? BADO KYUPI KIMEKUBANA...LOO!Maswali ya kitoto ni hayo yenu, nimeona upuuzi kujibu upuuzi, swali linajibiwa miaka nenda miaka rudi, hivi mnasoma majibu? Ili kukuonesha kuwa wewe ni punguani kama huyo mwenzako nakuwekea kipande kidogo tu hapa, kuhusu swali hilo lilivyojibiwa huko alikolitoa na link ntakupa ukajisomee. Mna macho lakini hayaoni, mna masikio lakini hayasikii. Jisomee mada halafu useme hilo swali la kijinga ambalo wewe kwa ujinga wako umeliona la maana lina uhusiano upi na mada? Detailed rebuttals to the so called "Errors" in the Noble Quran: The following Anti-Islamic claims are from http://www.answering-islam.org/Quran/Contra/index.html. 95% of those Anti-Islamic claims are very silly. In my opinion, they are not even worth responding to. But unfortunately, they have to be responded to because the Muslims and the non-Muslims need to learn about what both sides have to say.Kajisomee: Detailed rebuttals to the so called "Errors" in the Noble Quran.Maana nyinyi mkiona mmeshindwa hoja mnaanza kubwabwaja na kuhororoja na kuleta mambo ya kijinga yaliyoulizwa na wajinga wenzenu si kwa kutaka kuelewa bali kwa kutaka ushidani usiokuwepo na yameshajibiwa kama uonavyo hapo juu. Sisi tutaendelea kuwapa darsa, halafu mkikaa mjifikirie, maana ukweli unauma na tunajuwa ukweli unawauma sana lakini ndio hivyo tena mioyo yenu imejaa maradhi na hamna zaidi ila ni kuzidishiwa tu hayo maradhi.Anti-Islamic claim: Six or eight days of creation? Islamic Responses: Response by Dr. Zakir Naik. My response Response by Karim (pdf file) Response by MENJ Six or Eight Days of Creation? The Length of God's Days A Numerical Discrepancy? Response by Misha'al ibn Abdullah