Ni kweli CHADEMA hulipana posho za mamilioni kila wanapohudhuria kesi ya Mbowe?

Ni kweli CHADEMA hulipana posho za mamilioni kila wanapohudhuria kesi ya Mbowe?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
CHADEMA sasa ni kama haina uongozi, imekatwa kichwa, Mwenyekiti Yuko gerezani, Makamu anakula kuku ubeleji.

Kuna taarifa kwamba viongozi hulipana posho za mamilioni Kila siku wanapohudhuria kesi ya Mbowe, kama taarifa hizi ni za kweli, basi Kuna ubadhirifu mkubwa sana unaendelea.

Nashauri CHADEMA wadai mabadiliko ya katiba yao ili kudhibiti hali hiyo, kwa kweli taarifa hazifurahishi.
 
Chadema Sasa ni kama haina uongozi, imekatwa kichwa, Mwenyekiti Yuko gerezani, Makamu anakula kuku ubeleji.
Kuna taarifa kwamba viongozi hulipana posho za mamilioni Kila siku wanapohudhuria kesi ya Mbowe, kama taarifa hizi ni za kweli, basi Kuna ubadhirifu mkubwa sana unaendelea.

Nashauri Chadema wadai mabadiliko ya katiba yao ili kudhibiti hali hiyo, kwa kweli taarifa hazifurahishi.
Mnahangaika sana na Chadema mara msema imekufa mara haina Uongozi mbona mnateseka hivyo
 
Daaah mnachekesha kwa kweli,mara mseme Chama Kiko hoi kifedha mpaka kinafikiria kuwarudisha vitu maalum 19 Ili makato yaendeshe Chama!Sasa mnasema viongozi wanagawana mamilioni wakihudhuria kesi!
Hii ndio Ile Umekaa ndani umevimbiwa,unaanzia kutunga story zinazokujia kichwani!

Jana nimeona umemtukana Mbowe kuwa "kapata mtu ndio maana anang'anga'ania gerezani"!

Chuki itakumaliza,utajikuta unatenda dhambi na kumkosea mola wako kila siku!
Nina uhakika wewe ni kijana,kutoa maneno hayo dhidi ya Mbowe sio tu unaonesha namna gani hujalelewa vema kiimani na kimaadili,bali pia inaonesha wigo wako mwembamba wa kufikiri!
 
Chadema Sasa ni kama haina uongozi, imekatwa kichwa, Mwenyekiti Yuko gerezani, Makamu anakula kuku ubeleji.
Kuna taarifa kwamba viongozi hulipana posho za mamilioni Kila siku wanapohudhuria kesi ya Mbowe, kama taarifa hizi ni za kweli, basi Kuna ubadhirifu mkubwa sana unaendelea.

Nashauri Chadema wadai mabadiliko ya katiba yao ili kudhibiti hali hiyo, kwa kweli taarifa hazifurahishi.
Wanastahili pongezi kama wanaweza kufanya hivyo bila ruzuku

Amandla...
 
Naona Sasa mnatafuta sababu za kujifurahisha. Naona leo ushahidi umewageuka.
Angeanza kutuambia serikali imeshatumia kuendeshea kesi hii ya mchongo kwa posho za askari,waendesha mashtaka,mashahidi au majaji?
Kutuambia CDM wanalipana ni ku-divert the real issues.
Watanzania tusipotoshwe,hoja yetu namba moja iwe ni Katiba mpya.
 
CHADEMA sasa ni kama haina uongozi, imekatwa kichwa, Mwenyekiti Yuko gerezani, Makamu anakula kuku ubeleji.

Kuna taarifa kwamba viongozi hulipana posho za mamilioni Kila siku wanapohudhuria kesi ya Mbowe, kama taarifa hizi ni za kweli, basi Kuna ubadhirifu mkubwa sana unaendelea.

Nashauri CHADEMA wadai mabadiliko ya katiba yao ili kudhibiti hali hiyo, kwa kweli taarifa hazifurahishi.
Serikali ndio inatumia vibaya kodi za Watanzania kuwalipa mawakili, mashahidi na Jaji kwa kesi ya mchongo isiyokuwa na kichwa wala miguu.
 
CHADEMA sasa ni kama haina uongozi, imekatwa kichwa, Mwenyekiti Yuko gerezani, Makamu anakula kuku ubeleji.

Kuna taarifa kwamba viongozi hulipana posho za mamilioni Kila siku wanapohudhuria kesi ya Mbowe, kama taarifa hizi ni za kweli, basi Kuna ubadhirifu mkubwa sana unaendelea.

Nashauri CHADEMA wadai mabadiliko ya katiba yao ili kudhibiti hali hiyo, kwa kweli taarifa hazifurahishi.
We una akili timamu kweli ? Kupost upuuzi na ujinga kama huu. Posho za mamilioni?
 
Acha kulialia, we mpe makavu huyu bwege mtoa mada ili aache ujinga. Chadema wana hela za kulipa watu mamilioni kila siku?
Acha kutukana matusi, ntakufanya upate ban ya mwaka, usinichezee bwana mdogo
 
CHADEMA sasa ni kama haina uongozi, imekatwa kichwa, Mwenyekiti Yuko gerezani, Makamu anakula kuku ubeleji.

Kuna taarifa kwamba viongozi hulipana posho za mamilioni Kila siku wanapohudhuria kesi ya Mbowe, kama taarifa hizi ni za kweli, basi Kuna ubadhirifu mkubwa sana unaendelea.

Nashauri CHADEMA wadai mabadiliko ya katiba yao ili kudhibiti hali hiyo, kwa kweli taarifa hazifurahishi.
Kwani CCM wananyakua kodi ya bilioni ngapi? na Chauma wananyakua bilioni ngapi kila mwezi ? Tuanzie hapo 😳
 
kumbe kukaa kwa Mbowe mahabusu ni neema kwa wengine!.
Siku Mbowe akitoka mahabusu tutaona mtifuano ndani ya chama,huo ndo ukweli.
 
Daaah mnachekesha kwa kweli,mara mseme Chama Kiko hoi kifedha mpaka kinafikiria kuwarudisha vitu maalum 19 Ili makato yaendeshe Chama!Sasa mnasema viongozi wanagawana mamilioni wakihudhuria kesi!
Hii ndio Ile Umekaa ndani umevimbiwa,unaanzia kutunga story zinazokujia kichwani!

Jana nimeona umemtukana Mbowe kuwa "kapata mtu ndio maana anang'anga'ania gerezani"!

Chuki itakumaliza,utajikuta unatenda dhambi na kumkosea mola wako kila siku!
Nina uhakika wewe ni kijana,kutoa maneno hayo dhidi ya Mbowe sio tu unaonesha namna gani hujalelewa vema kiimani,Bali pia inaonesha wigo wako mwembamba wa kufikiri!
kumbe kukaa kwa Mbowe mahabusu ni neema kwa wengine!.
Siku Mbowe akitoka mahabusu tutaona mtifuano ndani ya chama,huo ndo ukweli.
Najua umeandika tu kujifurahisha!
 
Back
Top Bottom