Kwenye uongozi wa chama chetu cha ccm, hatuwazungumzii na wala kuingilia mambo ya CDM. Kwanza wakizitumia pesa zao vibaya ndiyo vizuri kwetu, watajiounguzia mtaji wa kuendesha siasa na ujenzi wa chama, sasa kwanini tufuatilie hilo.
Linafuatiliwa na kuwekwa mitandaoni na genge la upinzani ndani ya Chadema na Mashabiki wa CDM wasiojua siasa na wenzao wa CCM. Lakini CCM yenyewe iko tuli na inapiga mwendo
Linafuatiliwa na kuwekwa mitandaoni na genge la upinzani ndani ya Chadema na Mashabiki wa CDM wasiojua siasa na wenzao wa CCM. Lakini CCM yenyewe iko tuli na inapiga mwendo