Mnahangaika sana na Chadema mara msema imekufa mara haina Uongozi mbona mnateseka hivyoChadema Sasa ni kama haina uongozi, imekatwa kichwa, Mwenyekiti Yuko gerezani, Makamu anakula kuku ubeleji.
Kuna taarifa kwamba viongozi hulipana posho za mamilioni Kila siku wanapohudhuria kesi ya Mbowe, kama taarifa hizi ni za kweli, basi Kuna ubadhirifu mkubwa sana unaendelea.
Nashauri Chadema wadai mabadiliko ya katiba yao ili kudhibiti hali hiyo, kwa kweli taarifa hazifurahishi.
Wanastahili pongezi kama wanaweza kufanya hivyo bila ruzukuChadema Sasa ni kama haina uongozi, imekatwa kichwa, Mwenyekiti Yuko gerezani, Makamu anakula kuku ubeleji.
Kuna taarifa kwamba viongozi hulipana posho za mamilioni Kila siku wanapohudhuria kesi ya Mbowe, kama taarifa hizi ni za kweli, basi Kuna ubadhirifu mkubwa sana unaendelea.
Nashauri Chadema wadai mabadiliko ya katiba yao ili kudhibiti hali hiyo, kwa kweli taarifa hazifurahishi.
Angeanza kutuambia serikali imeshatumia kuendeshea kesi hii ya mchongo kwa posho za askari,waendesha mashtaka,mashahidi au majaji?Naona Sasa mnatafuta sababu za kujifurahisha. Naona leo ushahidi umewageuka.
Serikali ndio inatumia vibaya kodi za Watanzania kuwalipa mawakili, mashahidi na Jaji kwa kesi ya mchongo isiyokuwa na kichwa wala miguu.CHADEMA sasa ni kama haina uongozi, imekatwa kichwa, Mwenyekiti Yuko gerezani, Makamu anakula kuku ubeleji.
Kuna taarifa kwamba viongozi hulipana posho za mamilioni Kila siku wanapohudhuria kesi ya Mbowe, kama taarifa hizi ni za kweli, basi Kuna ubadhirifu mkubwa sana unaendelea.
Nashauri CHADEMA wadai mabadiliko ya katiba yao ili kudhibiti hali hiyo, kwa kweli taarifa hazifurahishi.
We una akili timamu kweli ? Kupost upuuzi na ujinga kama huu. Posho za mamilioni?CHADEMA sasa ni kama haina uongozi, imekatwa kichwa, Mwenyekiti Yuko gerezani, Makamu anakula kuku ubeleji.
Kuna taarifa kwamba viongozi hulipana posho za mamilioni Kila siku wanapohudhuria kesi ya Mbowe, kama taarifa hizi ni za kweli, basi Kuna ubadhirifu mkubwa sana unaendelea.
Nashauri CHADEMA wadai mabadiliko ya katiba yao ili kudhibiti hali hiyo, kwa kweli taarifa hazifurahishi.
Bwege mkubwa wewe acha kupost upuuzi.Acha kutukana matusi, ntakufanya upate ban ya mwaka, usinichezee bwana mdogo
Kwani CCM wananyakua kodi ya bilioni ngapi? na Chauma wananyakua bilioni ngapi kila mwezi ? Tuanzie hapo 😳CHADEMA sasa ni kama haina uongozi, imekatwa kichwa, Mwenyekiti Yuko gerezani, Makamu anakula kuku ubeleji.
Kuna taarifa kwamba viongozi hulipana posho za mamilioni Kila siku wanapohudhuria kesi ya Mbowe, kama taarifa hizi ni za kweli, basi Kuna ubadhirifu mkubwa sana unaendelea.
Nashauri CHADEMA wadai mabadiliko ya katiba yao ili kudhibiti hali hiyo, kwa kweli taarifa hazifurahishi.
Najua umeandika tu kujifurahisha!kumbe kukaa kwa Mbowe mahabusu ni neema kwa wengine!.
Siku Mbowe akitoka mahabusu tutaona mtifuano ndani ya chama,huo ndo ukweli.