Chengo Wa Anziwani
Member
- Nov 18, 2019
- 44
- 46
Ili mwanaume afanye tendo la ndoa ipasavyo, biology ya mwili wa mwanaume unahitaji vitu vifuatavyo;
1. Virutubisho vya protini na mazingira anuai kwa ajili ya kutengengeneza mbegu, bila uwepo wa mbegu tendo halifanyiki asilani.
2. Energy (joules/calories) kwa ajili ya kuipa nguvu misuli ya mwili na mchakato wa utengenezaji wa mbegu
Je viazi mviringo viwili au vitatu vinatosha kuupa mwili nishati ya kutosha kuliwezesha tendo?
1. Virutubisho vya protini na mazingira anuai kwa ajili ya kutengengeneza mbegu, bila uwepo wa mbegu tendo halifanyiki asilani.
2. Energy (joules/calories) kwa ajili ya kuipa nguvu misuli ya mwili na mchakato wa utengenezaji wa mbegu
Je viazi mviringo viwili au vitatu vinatosha kuupa mwili nishati ya kutosha kuliwezesha tendo?