Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie mke wangu ndio mrembo kuliko wanawake wote Hawa haoni ndaniKwa ninavyo elewa mm mwanamke mzuri kuliko wote duniani ni Hawa mke wa nabii Adam na anefuata ni Sara mke wa nabii Ibrahim. Huyo cleopatra ni mrembo wa kawaida huenda hawezi kufikia hata hawa dada zetu wa kiafrica
Don't you know the old adage that "beauty is in the eyes of the beholder"?
Mie mke wangu ndio mrembo kuliko wanawake wote Hawa haoni ndani
Wana Jf mimi ni mwanachama mpya na ninaomba mnikaribishe, ninaomba mnisaidie niweze kupata majibu kutoka kwenu
Dhana ya uzuri ni complex sana, mimi hadi sasa nashindwa kuelewa uzuri ni nini?
Karibu sana mkuu,ukifuatia vizuri haya mabandiko ya wanajf utapata ukweli!Wana Jf mimi ni mwanachama mpya na ninaomba mnikaribishe, ninaomba mnisaidie niweze kupata majibu kutoka kwenu
Cleopatra alikuw mdhai ktk masuala ya ngono,aliingia kwny mahusiano na kaisar wa rumi Anthony ili amsaidie ktk vita dhid ya kaka yake ptolemy alikuw anatawala kask(ugirik,macedonia,uturuk nk)wakamshnda,wakafanya sherehe ya anasa ktk moja vya visiwa vya bahar ya mediteranian kw zaid ya siku 100,Anthony nae alikuw mlevi,kwa kifup ALEXANDER THE GREAT NDIE ALIETANUA UTAWALA WA KIYUNAN ULMWENHUN WAKAT HUO,KTK MTIRIRIKO WA URITH KTK UTAWALA HUO NDIPO MWISHON ANAKUJA CLEOPATRA NA PTOLEMY HAWA NI NDUGU WA DAMU