Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habar bila picha haijakamilikawa Halima Hussein. Anaishi Magomeni. Kachanganya msomali, mnyamwezi, mmanga. Hakuna mwanamke mzuri ka
Miaka ya 1995 mitaa y
Miaka ya 1995 mitaa ya magomeni Idrisa pale kulikuwa na mdada alikuwa anaitwa Halima Hussein. Ni ny.o.ko huyo msichana,. Mtoto kachanganya, mnyamwezi , msomali , mmanga. Kuna mwarabu alitoka Oman mwaka 1999 akafunga nae ndoa, wakaenda kuishi Oman, baadaye nikasikia wapo Dubenga, now nasikia wanaishi maandishi matatu.
Mshua wako alikuwepo?Hakika Creopatra aliumbika
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Hata na nyimbo aliimbiwa.
Wafalme wa nji mbali mbali walikwemda kumuona malkia Creopata mm nimeadithiwa na mshua.
Mkwepa kodi umefunga mjadala,huo ndio ukweli.Mwanamke mzuri ni yule unayempenda wewe mkuu.
haijawahi kukutokea ukatamani mwanamke mwingine mkuu japo una wa kwako home?Mkwepa kodi umefunga mjadala,huo ndio ukweli.
Hahahaha we nomaMshua wako alikuwepo?
Hahahaaaa! Dah we jamaa!! Unajua mtu anaweza kutamani kama Binadamu tu! Aiseee nimecheka sana swali lako Mkuu!!haijawahi kukutokea ukatamani mwanamke mwingine mkuu japo una wa kwako home?
Kwa vigezo vyao pengine ni kweli lakini kwa vigezo vya dunia si kweli labda kwa utajiri ni sahihiKuna simulizi nyingi za zamani ambazo zinamtaja Cleopatra ambaye alikuwa malkia wa Misri enzi hizo kuwa ndiye mwanamke mzuri aliyewahi kuishi duniani. Je kuna ukweli wa habari hii?
hii ni picha ya kubuni tu,maana miaka ile hata camera cjui kama zilikuwepoAna uzuri gani huyu
Mkuu hakuna picha halisi za huyo mwanamke....alikuwepo miaka mingi kabla hata ya yesu.Ana uzuri gani huyu
Tata?Hawezi mzidi Nyangeta wangu wa Tarime
Mkuu mimi nilkuwa mgeni tu napita tokea mwanza.. labda nimuulizie mwenyeji wangu