Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

Mkuu,

nitaongeza kidogo walipoachia wenzangu. Mwelekeo wa sasa (sayansi) inaonyesha Cleopatra alikuwa na uafrika. Inaonyesha baba alikuwa wa macedonia lakini mama yake alikuwa dada wa kiafrika. Hii ni kutokana na kupatikana ushahidi wa karibuni juu ya fuvu la marehemu dada yake (inasemekana alimuua yeye mwenyewe).


Scientists say Cleopatra may have been African because her sister, Arsinoe was - National Healthy Trends | Examiner.com


Sitashangaa kesho wakikiri alikuwa mwafrika 100%. Hii si ajabu kama kwa sasa weshaanza kukiri dada mtu alikuwa mwafrika. Kumbuka wakazi asilia wa misri kipindi hicho walikuwa waafrika weusi, sio waarabu wa siku hizi. Desturi ya wakazi wa nchi za ulaya kujipachika kila kilicho bora haijaanza leo.


Ama kuhusu jibu la swali lako jibu ni SIJUI na PIA SIDHANI ni kweli.
 
Ndugu zanguni labda mngetoa kwanza maana term urembo
Y

Ndugu yangu

Kuna mchango kuhusu neno UREMBO hapa

WHAT IS BEAUTY//UREMBO NI NINI? - YouTube

Mtoa mada kauliza "mwanamke mzuri duniani?". Binafsi nadhani uzuri ni sifa (za wazi na zisizo wazi) alizoumbwa nazo mtu. Urembo unaendana na mapambo.

Lakini la Cleopatra na DUNIA ni vyema kuelewa kuwa fikra za wakati ULE kuhusu dunia hazikuwa pana kama leo. Kwa wao dunia iliishia kwenye milki zao (warumi, wagiriki au mafarao). Kisha kuna ile tabia ya tamaduni tawala kidesturi kuzikandamiza tamaduni tawaliwa. Mfano hai; Ukiangalia kwa makini, utagundua kuwa "Miss WORLD" wengi wanatoka kwenye tamaduni tawala kasoro mara chache za angalau na "wanyonge nao wapeni". Upo UWEZEKANO kuwa uzuri wa Cleopatra ulikuzwa zaidi na tamaduni tawala ya wakati huo na sio uhalisia wa mambo. Hii inaongezwa nguvu kwa kusimuliwa pia kuwa watawala wa Rome walijihusisha na mama huyu kimapenzi.
 
Kwa ninavyo elewa mm mwanamke mzuri kuliko wote duniani ni Hawa mke wa nabii Adam na anefuata ni Sara mke wa nabii Ibrahim. Huyo cleopatra ni mrembo wa kawaida huenda hawezi kufikia hata hawa dada zetu wa kiafrica

Hivi Adam alikuwa nabii kweli ?
Ninavyofahamu mimi aliumbwa na Mingu na wote ulimwenguni tukatoka kwake.
 
Kuna simulizi nyingi za zamani ambazo zinamtaja Cleopatra ambaye alikuwa malkia wa Misri enzi hizo kuwa ndiye mwanamke mzuri aliyewahi kuishi duniani. Je kuna ukweli wa habari hii?
 
kuna simulizi nyingi za zamani ambazo zinamtaja cleopatra ambaye alikuwa malkia wa misri enzi hizo kuwa ndiye mwanamke mzuri aliyewahi kuishi duniani,je kuna ukweli wa habari hii?
wa Halima Hussein. Anaishi Magomeni. Kachanganya msomali, mnyamwezi, mmanga. Hakuna mwanamke mzuri ka
Miaka ya 1995 mitaa y
kuna simulizi nyingi za zamani ambazo zinamtaja cleopatra ambaye alikuwa malkia wa misri enzi hizo kuwa ndiye mwanamke mzuri aliyewahi kuishi duniani,je kuna ukweli wa habari hii?

Miaka ya 1995 mitaa ya magomeni Idrisa pale kulikuwa na mdada alikuwa anaitwa Halima Hussein. Ni ny.o.ko huyo msichana,. Mtoto kachanganya, mnyamwezi , msomali , mmanga. Kuna mwarabu alitoka Oman mwaka 1999 akafunga nae ndoa, wakaenda kuishi Oman, baadaye nikasikia wapo Dubenga, now nasikia wanaishi maandishi matatu.
 
Back
Top Bottom