Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

Cleopatra - Cleopatra 1963 Photo (30460763) - Fanpop.jpg
 
Nyie sifien mashetan kuwa Ni warembo?
Umesoma historia yake vizur?
 
aishwarya rai
super natural beautiful indian lady..
usiwaamini sana waarabu na wazungu..
wanapenda kujisifu mno..
walituita washenzi wakati sisi waafrika kupitia imani zetu za asili ndio watu tuliokua tukijibiwa haraka zaidi maombi yetu kwa Mungu kuliko kupitia imani zao za kupanga..
lakini bado walijiita wao bora.
 
kuna mtoto yupo nmb mwanza sijawahi kuona hapa duniani hapa dunian alivyo kisu.
Sema hujawahi kuona huko mwanza, usiseme duniani umefika venezuela ww? Hapo rwanda tu kwa kagame ukifika utachanganyikiwa
 
Hakika Creopatra aliumbika
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Hata na nyimbo aliimbiwa.
Wafalme wa nji mbali mbali walikwemda kumuona malkia Creopata mm nimeadithiwa na mshua.
Na ww unaamua kutuadithia na sisi?
 
mshua
Hakika Creopatra aliumbika
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Hata na nyimbo aliimbiwa.
Wafalme wa nji mbali mbali walikwemda kumuona malkia Creopata mm nimeadithiwa na mshua.
mshua wako kwani alikuwepo au naye kahadithiwa?? mshua wako muongo huyo
 
wa Halima Hussein. Anaishi Magomeni. Kachanganya msomali, mnyamwezi, mmanga. Hakuna mwanamke mzuri ka
Miaka ya 1995 mitaa y


Miaka ya 1995 mitaa ya magomeni Idrisa pale kulikuwa na mdada alikuwa anaitwa Halima Hussein. Ni ny.o.ko huyo msichana,. Mtoto kachanganya, mnyamwezi , msomali , mmanga. Kuna mwarabu alitoka Oman mwaka 1999 akafunga nae ndoa, wakaenda kuishi Oman, baadaye nikasikia wapo Dubenga, now nasikia wanaishi maandishi matatu.
maandishi matatu ni wapi? Au r.i.p?
 
Back
Top Bottom