Msafiri007
Senior Member
- Jan 26, 2016
- 149
- 81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni demu wangu huyo tafadhali tutaonana wabaya.kuna mtoto yupo nmb mwanza sijawahi kuona hapa duniani hapa dunian alivyo kisu.
Mbona wa kawaida tu??Ana uzuri gani huyu
NMB, tawi gani Mkuu?
Watu wanaleta maskhara tunataka picha ya cleopatra watu wanaleta wimbo!si maajabu haya jamani.Mwenye picha jamani..
Na Einstein nae alikua mweusi ??Tumia akili wewe!
Cleopatra alikuwa Black skinned
Si hiyo picha uliyopewa na wazungu.
Na Einstein nae alikua mweusi ??
Sema hujawahi kuona huko mwanza, usiseme duniani umefika venezuela ww? Hapo rwanda tu kwa kagame ukifika utachanganyikiwakuna mtoto yupo nmb mwanza sijawahi kuona hapa duniani hapa dunian alivyo kisu.
Na ww unaamua kutuadithia na sisi?Hakika Creopatra aliumbika
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Hata na nyimbo aliimbiwa.
Wafalme wa nji mbali mbali walikwemda kumuona malkia Creopata mm nimeadithiwa na mshua.
mshua wako kwani alikuwepo au naye kahadithiwa?? mshua wako muongo huyoHakika Creopatra aliumbika
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Hata na nyimbo aliimbiwa.
Wafalme wa nji mbali mbali walikwemda kumuona malkia Creopata mm nimeadithiwa na mshua.
Mshua wake nae aliadithiwa na mshua wakeMshua wako alikuwepo?
maandishi matatu ni wapi? Au r.i.p?wa Halima Hussein. Anaishi Magomeni. Kachanganya msomali, mnyamwezi, mmanga. Hakuna mwanamke mzuri ka
Miaka ya 1995 mitaa y
Miaka ya 1995 mitaa ya magomeni Idrisa pale kulikuwa na mdada alikuwa anaitwa Halima Hussein. Ni ny.o.ko huyo msichana,. Mtoto kachanganya, mnyamwezi , msomali , mmanga. Kuna mwarabu alitoka Oman mwaka 1999 akafunga nae ndoa, wakaenda kuishi Oman, baadaye nikasikia wapo Dubenga, now nasikia wanaishi maandishi matatu.
Haswaaaa ndo maisha vizazi na vizaziNa ww unaamua kutuadithia na sisi?