Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

Sema hujawahi kuona huko mwanza, usiseme duniani umefika venezuela ww? Hapo rwanda tu kwa kagame ukifika utachanganyikiwa
Akifika kwa mswati kule atakufa kabisa .lakini uzuri upo kwa mwonaji mwache bwana huyo wa nmb kwake ndio hajawahi kuona ila akitemvea pengine arabadili mawazo
 
Mimi nilitegemea watu ambao wangekuwa ni wazuri kwa sura na umbo kuliko wengine wote duniani wangekuwa ni Adam na Hawa kwa vile wenyewe Mungu ALITUMIA MIKONO YAKE KUWAUMBA tofauti na sisi binadamu wengine tuliokuja KUZALIWA tu na binadamu wenzetu kama kizazi cha Adam na Hawa.
 
Hakika Creopatra aliumbika
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Hata na nyimbo aliimbiwa.
Wafalme wa nji mbali mbali walikwemda kumuona malkia Creopata mm nimeadithiwa na mshua.

Mshua wako aliwahi kwenda kumuona pia??
 
Mimi nilitegemea watu ambao wangekuwa ni wazuri kwa sura na umbo kuliko wengine wote duniani wangekuwa ni Adam na Hawa kwa vile wenyewe Mungu ALITUMIA MIKONO YAKE KUWAUMBA tofauti na sisi binadamu wengine tuliokuja KUZALIWA tu na binadamu wenzetu kama kizazi cha Adam na Hawa.
mungu hakuwaumba hao Adam na Hawa kwa kuwatamani wala kuonyesha anavyoweza kuumba kwa madoido bali ni kuijaza dunia tu,na katika hoa wataojaza aliona ataweza kuonyesha ujuzi wake wa kiuumbaji(mzuri na mbaya)
 
Kuna mmoja mtoto wa kihaya miaka ya 80, 90 alikuwa anaitwa JENI alitungiwa nyimbo sana nasikia alikuwa anakojoa soda.
We kiboko
Hivi unajua hata ile rangi ya chungwa
Yule mtoto ni kweli alikua kaiva kama chungwa
 
The beautiful ones are not yet born.
Hapo haukuzungumziwa uzuri wa sura wala shape mkuu. Muandishi alikuwa anazungumziwa wasafi au viongozi wazuri kiutawala kuwa hawakuzaliwa.
 
wa Halima Hussein. Anaishi Magomeni. Kachanganya msomali, mnyamwezi, mmanga. Hakuna mwanamke mzuri ka
Miaka ya 1995 mitaa y


Miaka ya 1995 mitaa ya magomeni Idrisa pale kulikuwa na mdada alikuwa anaitwa Halima Hussein. Ni ny.o.ko huyo msichana,. Mtoto kachanganya, mnyamwezi , msomali , mmanga. Kuna mwarabu alitoka Oman mwaka 1999 akafunga nae ndoa, wakaenda kuishi Oman, baadaye nikasikia wapo Dubenga, now nasikia wanaishi maandishi matatu.


Picha yake hata haina mkuu!!!
 
Yule binti wa kihindi wa "kuchukuchhotae" vipiii.... Mtoto mzuri sana yule
 
Back
Top Bottom