Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akifika kwa mswati kule atakufa kabisa .lakini uzuri upo kwa mwonaji mwache bwana huyo wa nmb kwake ndio hajawahi kuona ila akitemvea pengine arabadili mawazoSema hujawahi kuona huko mwanza, usiseme duniani umefika venezuela ww? Hapo rwanda tu kwa kagame ukifika utachanganyikiwa
Tumia akili wewe!
Cleopatra alikuwa Black skinned
Si hiyo picha uliyopewa na wazungu.
Hakika Creopatra aliumbika
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Hata na nyimbo aliimbiwa.
Wafalme wa nji mbali mbali walikwemda kumuona malkia Creopata mm nimeadithiwa na mshua.
mungu hakuwaumba hao Adam na Hawa kwa kuwatamani wala kuonyesha anavyoweza kuumba kwa madoido bali ni kuijaza dunia tu,na katika hoa wataojaza aliona ataweza kuonyesha ujuzi wake wa kiuumbaji(mzuri na mbaya)Mimi nilitegemea watu ambao wangekuwa ni wazuri kwa sura na umbo kuliko wengine wote duniani wangekuwa ni Adam na Hawa kwa vile wenyewe Mungu ALITUMIA MIKONO YAKE KUWAUMBA tofauti na sisi binadamu wengine tuliokuja KUZALIWA tu na binadamu wenzetu kama kizazi cha Adam na Hawa.
maandishi matatu ni wapi? Au r.i.p?
HahahahaNa mshua alienda?
We kibokoKuna mmoja mtoto wa kihaya miaka ya 80, 90 alikuwa anaitwa JENI alitungiwa nyimbo sana nasikia alikuwa anakojoa soda.
Niliwahi kusoma novel yake, lakini mwandishi nimemsahau!The beautiful ones are not yet born.
Na picha kapiga naeMshua wako aliwahi kwenda kumuona pia??
HaswaaaaaaKwa wanaume alikuwepo Nabii Yusuph ndio vitabu vinavyotuambia
Sorry kona bar ipo wapiNgoja niende posta nikawaone watoto wazuri aisee
Hapo haukuzungumziwa uzuri wa sura wala shape mkuu. Muandishi alikuwa anazungumziwa wasafi au viongozi wazuri kiutawala kuwa hawakuzaliwa.The beautiful ones are not yet born.
wa Halima Hussein. Anaishi Magomeni. Kachanganya msomali, mnyamwezi, mmanga. Hakuna mwanamke mzuri ka
Miaka ya 1995 mitaa y
Miaka ya 1995 mitaa ya magomeni Idrisa pale kulikuwa na mdada alikuwa anaitwa Halima Hussein. Ni ny.o.ko huyo msichana,. Mtoto kachanganya, mnyamwezi , msomali , mmanga. Kuna mwarabu alitoka Oman mwaka 1999 akafunga nae ndoa, wakaenda kuishi Oman, baadaye nikasikia wapo Dubenga, now nasikia wanaishi maandishi matatu.
Afrika sana, Sinza ndo ipo hiyo kona barSorry kona bar ipo wapi
Ayi Akwei Amal kama sikoseiNiliwahi kusoma novel yake, lakini mwandishi nimemsahau!
Mkuu wewe hatari yaani umeamua kugima bin kukaza na ishu ya mtoto hahaha wewe hatare weka mbali na -18Poa Mkuu.. Nasubiri Mrejesho.