Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heee!umeuonajeMwanamke mzuri kuliko wote duniani ni mama yako mzazi, Nukta.
hapo naweza kukubali,katika hali ya kawaida haiwezekani akavuma kiasi hicho.kwa mujibu wa simulizi cleopatra alikuwa malkia katili na mwenye husuda,wivu kupitiliza na mwenye kupenda sana urembo,hakutaka kusikia kwamba kuna mwanamke mrembo zaidi yake,hivyo kusudi ubaki salama kwake ilikuwa ni lazima usande na kukubali kuwa yeye ndiye mrembo kuliko wanawake wote,ukitaka ligi kifo kinakuhusu!hivyo ndivyo alivyoweza kujijengea title katika dunia ya nyakati zake mpaka leo hii unasimuliwa na hivyo siyo kweli kwamba alikuwa kisu kupitiliza
Unamaanisha Saada Salehe aliyeimbwa kwenye mabinti wa kitanga?wa Halima Hussein. Anaishi Magomeni. Kachanganya msomali, mnyamwezi, mmanga. Hakuna mwanamke mzuri ka
Miaka ya 1995 mitaa y
Miaka ya 1995 mitaa ya magomeni Idrisa pale kulikuwa na mdada alikuwa anaitwa Halima Hussein. Ni ny.o.ko huyo msichana,. Mtoto kachanganya, mnyamwezi , msomali , mmanga. Kuna mwarabu alitoka Oman mwaka 1999 akafunga nae ndoa, wakaenda kuishi Oman, baadaye nikasikia wapo Dubenga, now nasikia wanaishi maandishi matatu.
Hapana sio Saada Saleh mkuu, ingawa Saada Saleh naye yupo very!Unamaanisha Saada Salehe aliyeimbwa kwenye mabinti wa kitanga?
Cleopatra yupi wewe?Kuna simulizi nyingi za zamani ambazo zinamtaja Cleopatra ambaye alikuwa malkia wa Misri enzi hizo kuwa ndiye mwanamke mzuri aliyewahi kuishi duniani. Je kuna ukweli wa habari hii?
nadhani mnazungumzia urembo.Ana uzuri gani huyu
hapa kwangu tu akifika atachanganyikiwa.Sema hujawahi kuona huko mwanza, usiseme duniani umefika venezuela ww? Hapo rwanda tu kwa kagame ukifika utachanganyikiwa
Jina la kwanza alilopewa na wazazi wake kabla ya wazungu kushindwa kulitamka na kupa cleopatra ni "NEFERTITTI",for sure she was beautiful,nawaletea picha ya black and white
Duh sasa tutamuonaje ili tujifananishe na hatimae tuandamane kupinga hiyo kauli kuwa yeye ni mzuri dunianiMkuu hakuna picha halisi za huyo mwanamke....alikuwepo miaka mingi kabla hata ya yesu.
Hizo unazoziona ni picha za filamu za mwanamke aliyeiigiza maisha yake
We bila Shaka ndo mwehu uliepitiliza soma historia ya ancient Egypt usikulupuke kumkosoa MTU bila kufahamu.wee mweu kweli, Egypt asilimia kubwa Ni watu WA namna gan?
Naona umerogwa wewe.Cleopatra yupi wewe?
Madame B tu au Evelyn Salt wangu anamuacha huyo Cleopatra wako kwa mbali sana.
Za kuambiwa changanya na zako
Sema mzuri kuliko wote UDSM 2003/4-2007Sophia Alex alisoma UDSM B.A PSPA (2003/4 - 2007) ndiye mwanamke mzuri kuliko wote duniani.
Opportunist like any other politicianSamia Suluhu zaidi bana.