Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

kwa mujibu wa simulizi cleopatra alikuwa malkia katili na mwenye husuda,wivu kupitiliza na mwenye kupenda sana urembo,hakutaka kusikia kwamba kuna mwanamke mrembo zaidi yake,hivyo kusudi ubaki salama kwake ilikuwa ni lazima usande na kukubali kuwa yeye ndiye mrembo kuliko wanawake wote,ukitaka ligi kifo kinakuhusu!hivyo ndivyo alivyoweza kujijengea title katika dunia ya nyakati zake mpaka leo hii unasimuliwa na hivyo siyo kweli kwamba alikuwa kisu kupitiliza
hapo naweza kukubali,katika hali ya kawaida haiwezekani akavuma kiasi hicho.
 
eb212ac926d7752460b39fed24fdcabe.jpg
42cbed72e3298c5fc18ff361f93f0ed6.jpg
8d2949eecb5ec784b45bfcb6c6d70fc1.jpg
 
wa Halima Hussein. Anaishi Magomeni. Kachanganya msomali, mnyamwezi, mmanga. Hakuna mwanamke mzuri ka
Miaka ya 1995 mitaa y


Miaka ya 1995 mitaa ya magomeni Idrisa pale kulikuwa na mdada alikuwa anaitwa Halima Hussein. Ni ny.o.ko huyo msichana,. Mtoto kachanganya, mnyamwezi , msomali , mmanga. Kuna mwarabu alitoka Oman mwaka 1999 akafunga nae ndoa, wakaenda kuishi Oman, baadaye nikasikia wapo Dubenga, now nasikia wanaishi maandishi matatu.
Unamaanisha Saada Salehe aliyeimbwa kwenye mabinti wa kitanga?
 
Jina la kwanza alilopewa na wazazi wake kabla ya wazungu kushindwa kulitamka na kupa cleopatra ni "NEFERTITTI",for sure she was beautiful,nawaletea picha ya black and white

Mkuu unadanganya mno nefettit ni mwingine mkuu
 
Mkuu hakuna picha halisi za huyo mwanamke....alikuwepo miaka mingi kabla hata ya yesu.
Hizo unazoziona ni picha za filamu za mwanamke aliyeiigiza maisha yake
Duh sasa tutamuonaje ili tujifananishe na hatimae tuandamane kupinga hiyo kauli kuwa yeye ni mzuri duniani
 
Sophia Alex alisoma UDSM B.A PSPA (2003/4 - 2007) ndiye mwanamke mzuri kuliko wote duniani.
 
Cleopatra yupi wewe?
Madame B tu au Evelyn Salt wangu anamuacha huyo Cleopatra wako kwa mbali sana.
Za kuambiwa changanya na zako
Naona umerogwa wewe.
Afu mbona hukunishtua kuwa yule ndo wife maana nusura nikinukishe siku ile Twita (japo na mimi nilikuwa na zee langu) sema my wii mama kichanga akasema "we (yaani mimi) mzungu....kuku wangu wewe manati ya nini?"
Hahhaa.....si
 
Back
Top Bottom