Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

Habari wanajamii forum
Katika historia ya ulimwengu huu nasikia kulitokea mwanamke mmoja mzuri sana aliyeitwa CLEOPATRA ambaye alikuwa mtawala wa misri,na inasemekana hatakuja kutokea mwanamke mzuri tena kama CLEOPATRA,sasa nilikuwa naomba kwa wanaofahamu historia yake vixuri sana watuelezee ili tupate cha kujifunza kuhusu huyu CLEOPATRA
 
hata mim nliwah sikia kitu kama hicho, tupeni details bs
 
Julius Cesar aliyekua mtawala wa Roman Empire alikwisha kabisa kwa Cleopatra ukumbuke Roman Empire ilitawala dunia kabla ya Uingereza. Cleopatra alikua na asili ya Afrika.
 
Julius Cesar aliyekua mtawala wa Roman Empire alikwisha kabisa kwa Cleopatra ukumbuke Roman Empire ilitawala dunia kabla ya Uingereza. Cleopatra alikua na asili ya Afrika.
Aisee simpatii picha huyo mwanamke alivyokuwa
 
Huyo ndo cleopatra, alikuwa ni farao wa Vll wa misri, hakuwa mwanamke mzuri kuliko wote duniani, wanawake hupenda kusifiwa kwa uzuri na yy kipindi hicho alikuwa ni mtawala hivo alitaka kila mtu amwone yy ndio mzuri kuliko mwanamke yeyote, alikufa kwa kuumwa na nyoka cobra aliokuwa anawafuga"
 

Attachments

  • 1461400521734.jpg
    1461400521734.jpg
    8.9 KB · Views: 118
ef0a7f43836449807bd9561f98b1fe3b.jpg


Cleopatra VII Philopator, known to history simply as Cleopatra, was the last active pharaoh of Ptolemaic Egypt, shortly survived as pharaoh by her son Caesarion. After her reign, Egypt became a province of the then-recently established Roman Empire.
 
Back
Top Bottom