Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Hahaha idumu milele JF, Nimecheka sanaHii ni lugha gani?!?!
Ujinga wa kujitia kujua kumbe mnaungua jua. Andika lugha yetu Kenge wewe husikii mpaka damu zikutoke masikioni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha idumu milele JF, Nimecheka sanaHii ni lugha gani?!?!
Ujinga wa kujitia kujua kumbe mnaungua jua. Andika lugha yetu Kenge wewe husikii mpaka damu zikutoke masikioni.
Lol. Nikajua nae alikua enzi ya Cleopatra kumbe enzi za hizoLol.miaka alokuwa Cleopatra huyo Marc Anthony hakuzaliwa ujue tunaongelea warumi hiyooo my dear.
🙄😁😁😁😁Lol. Nikajua nae alikua enzi ya Cleopatra kumbe enzi za hizo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mbinguni ataenda kweli, ![emoji30]Hii ni lugha gani?!?!
Ujinga wa kujitia kujua kumbe mnaungua jua. Andika lugha yetu Kenge wewe husikii mpaka damu zikutoke masikioni.
Caesar alichomwa visu na wabunge. Augusto alitawala baada ya kifo cha caesar.Mkuu nafikiri chanzo cha kifo chao yeye na Caesar ni kaisari Augusto Baada ya kuiteka misri
Mkuu Kiraza nakuona umepata shavu la kuigiza kwenye tamthiliya pendwa ya Sultan!Kwa hiyo wanaosema Alikuwa Mzuri wanadanganya!? Na unadhani ni kwanini yeye tu ndiye atajwe kwenye historia ya warembo ili hali wewe unasema alikuwa Sura Mbuzi?
kama alikuwa wa kawada kwa nini aingizwe kwenye historia ya ulimwengu!!Alikuwa na nini ambacho mke wangu hana
Hujajibu swali langu we FUSOkama alikuwa wa kawada kwa nini aingizwe kwenye historia ya ulimwengu!!