Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwite tu hatakama ashabiani na jina,kila siku hili ndo swali lako.......
uzuri ni beauty rafiki, lol!
kuna dada mmoja anaitwa beauty.....
ndo jina alilopewa na wazazi wake,
huwa napata shida sana kumwita mbele za watu, usiulize kwa nini, lol!
Amber RutyCleopatra wa JF ni nani?
Hahahhahhahaah nimekupenda bure chukua coca nitakuja kulipaCleopatra kitu gani.mwanamke mzuri kuliko wote duniani ni mama yangu aliyenizaa na ndio maana baba alimpenda akomwoa kuwa mke wake nikazaliwa mimi.
Sidhan kama kutawahi kutokea mtu mzuri kuliko wote duniani,kila mtu anazidiwa uzuri na mtu mwingine,waliwahi kweli kuzunguka dunia yote wakaona hakuna mzuri zaidi yake?labda waseme alikuwa mzuri kuliko wamisri wote lakini sio dunia yote,amini nakwambia ukimuona mtoto mkali hapa ukadhan hujawah ona kama yeye bas fanya kuzungukazunguka sehemu zingine utawaona wakali zaidi yake mara dufu
Ndio kabisaa Balqis alikua mrembo na mzuri kupindukia..kias kwamba mfalme suleiman hakuweza kuvumilia akaamua kujimilikishamzuri ni brigita tu
Cleopatra alimzidi Madam Sepenga?Waliodai Cleopatra ni mzuri kuliko wanawake wote walikuwa hawajawahi kumuona Queen Mama Gaude wangu.
Alikuwa wapi kipindi hicho?Waliodai Cleopatra ni mzuri kuliko wanawake wote walikuwa hawajawahi kumuona Queen Mama Gaude wangu.
Ni kama yule wa sauzi wanafanana. ZariMkuu huna picha yake tujionee urembo wake uliotukuka