Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

Ni kweli Cleopatra, mwanamke mrembo kuliko wote duniani alikuwa wa Misri?

Kama hakuwa na papa bc kweli atakuwa hakuna mfano wa mwanamke kama yeye ila kama alikuwa nayo bc hkn tofauti na akina Aisha
 
Huyo aliyedai kwamba duniani hapatatokea mwanamke mwingine mrembo kama Cleopatra ni nani na alikuwa na uhakika gani juu ya hayo madai yake?
 
kila siku hili ndo swali lako.......
uzuri ni beauty rafiki, lol!
kuna dada mmoja anaitwa beauty.....
ndo jina alilopewa na wazazi wake,
huwa napata shida sana kumwita mbele za watu, usiulize kwa nini, lol!
Mwite tu hatakama ashabiani na jina,
Mbona tunao waita tool alafu ni mbili kimo.
Na wakina Bibi mnene kumbe ni Chelewa.
 
Hivi huyo Cleopatra Ana chura la kininja chaga kama analo basi kanikamata????
 
Kiukweli kwamba alikuwa wa kawaida tu ila kuna baadhi ya watu walikuwa wamempita kwa uzuri.
Akigundua kwamba wewe ni mzuri zaidi yake njia pekee ni kukuua tu
 
Cleopatra kitu gani.mwanamke mzuri kuliko wote duniani ni mama yangu aliyenizaa na ndio maana baba alimpenda akomwoa kuwa mke wake nikazaliwa mimi.
Hahahhahhahaah nimekupenda bure chukua coca nitakuja kulipa
 
Sidhan kama kutawahi kutokea mtu mzuri kuliko wote duniani,kila mtu anazidiwa uzuri na mtu mwingine,waliwahi kweli kuzunguka dunia yote wakaona hakuna mzuri zaidi yake?labda waseme alikuwa mzuri kuliko wamisri wote lakini sio dunia yote,amini nakwambia ukimuona mtoto mkali hapa ukadhan hujawah ona kama yeye bas fanya kuzungukazunguka sehemu zingine utawaona wakali zaidi yake mara dufu
 
Hawakumaanisha uzuri wa sura,si kwamba ni mzuri kuliko wote,walimaanisha uwezo wake wa kufanya mambo Mazuri.
Sidhan kama kutawahi kutokea mtu mzuri kuliko wote duniani,kila mtu anazidiwa uzuri na mtu mwingine,waliwahi kweli kuzunguka dunia yote wakaona hakuna mzuri zaidi yake?labda waseme alikuwa mzuri kuliko wamisri wote lakini sio dunia yote,amini nakwambia ukimuona mtoto mkali hapa ukadhan hujawah ona kama yeye bas fanya kuzungukazunguka sehemu zingine utawaona wakali zaidi yake mara dufu
 
Waliodai Cleopatra ni mzuri kuliko wanawake wote walikuwa hawajawahi kumuona Queen Mama Gaude wangu.
 
Back
Top Bottom