GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,796
- 4,497
Sure thing!Kwa Trump naweza kuelewa, ila kwa Ramaphosa na viongozi wa Afrika wakiwa madarakani wanaendelea kupiga ndilo linalowauma kuyaacha. We fikiria wizara hiyo aliyoacha ile mikopo ya wasanii fedha ziko tu unaweza kula kwa kila mnufaika.