kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Labda dereva sio akili yake ila kaelekezwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Government doesn't work that way kuna issue za handover in fact anaweza kutumia hilo V8 for a week .. plate number Serikali (STK ... STM ... N.K)Dereva yupo sahihi ukitenguliwa tu hata ofisini huruhusiwi kuingia unakuta password zishabadilishwa, utaenda utakapo hitajika au kuitaji kukabidhi
Utaingiziwa pesa kwenye akaunti za nauli au tickets za ndege au kununuliwa tickets ya basi au ndege urudi kwenu kama ukikuwa kwenye msafara ila kama ni kituo chako cha kazi utalipwa stahiki zako zote ikiwemo za kubeba mizigo kwenda kwenu utafute usafiri mwenyewe baada ya kulipwa chakoKama ukitumbuliwa upo Katavi kiserikali inamaana uachwe ujitafutie namna ya kurudi? Siku moja hizo drama zitafanya serikali ishtakiwe na kulipa pesa nyingi.
Sahihi dereva anabeba cheo sio mtuWewe ndio hujui. Dereva hapakizi mtu. Dereva anapakiza cheo/nafasi. Refer kwa Mwigulu wakati akiwa Waziri wa mambo ya ndani wakati wa JPM na alipoachwa wakati akiwa ziarani Kigoma.
Sahihi sasa mtu umetumbuliwa hizo guts za kutanga kupanda hiyo gari ya waziri unazitoa wapi? Unakodi hata bajaji mbio unawaachia mgari waoHata mimi nisingetumia hiyo gari, ningetafuta namna ya kuondoka kimya kimya.
Ikishatangazwa tu kuwa si waziri tena kwa heriPriveleges za uwaziri zinaisha akikabidhi ofisi. Au nayo haruhusiwi kuingia sababu ni ofisi ya waziri?
Ni sahihi boss katenguliwa akiweka bomu au ndumba za kumdhuru atakayekuja itakuwaje? Ndio maana kutenguliwa hutangazwa ghafla na dereva anatoroka na gari asije ulizwa ulimpakia yule aliyetenguliwa kwenye gari ya waziri lama nani? Hujui hiyo gari ni ya waziri?Dereva yupo sahihi ukitenguliwa tu hata ofisini huruhusiwi kuingia unakuta password zishabadilishwa, utaenda utakapo hitajika au kuitaji kukabidhi
Mkuu lakini hata akitumbuliwa si kuna utaratibu wa kukabidhi ofisi na hapo ndo final. Nadhani hata kubadilisha number plate hairuhusiwi.Hawezi kufanya hivyo utaratibu haimruhusu anachotakiwa ni kuondoa plate number tu
Pia ieleweke bado ni mbunge.Mkuu lakini hata akitumbuliwa si kuna utaratibu wa kukabidhi ofisi na hapo ndo final. Nadhani hata kubadilisha number plate hairuhusiwi.
Ni sahihi boss katenguliwa akiweka bomu au ndumba za kumdhulu atakayekuja itakuwaje? Ndio maana kutenguliwa hutangazwa ghafla na dereva anatoroka na gari asije ulizwa ulimpakia yule aliyetenguliwa kwenye gari ya waziri lama nani? Hujui hiyo gari ni ya waziri?Dereva yupo sahihi ukitenguliwa tu hata ofisini huruhusiwi kuingia unakuta password zishabadilishwa, utaenda utakapo hitajika au kuitaji kukabidhi
Mfano waziri kakwapua mabilioni katumbuliwa unataka aendelee kuwa waziri hadi akabidhi ofisi huyo jambazi?Mkuu lakini hata akitumbuliwa si kuna utaratibu wa kukabidhi ofisi na hapo ndo final. Nadhani hata kubadilisha number plate hairuhusiwi.