Ni kweli Dereva alimuacha Nape akiwa Ukumbini Mlimani City baada ya kupata taarifa bosi wake ametumbuliwa?

Ni kweli Dereva alimuacha Nape akiwa Ukumbini Mlimani City baada ya kupata taarifa bosi wake ametumbuliwa?

Acha uongo. Ni kuanzia lini waziri anatembea na laptop au mkoba binafsi wenye document za ofisi? Mi mtumishi wa Serikali nauza madafu. Katika kifanyiwa vetting huruhusiwi kutembea na vitu/document vya ofisi kama vitu vyako binafsi. Inatakiwa akamatwe mama alitembea na nyarama za serikali kwenye mkoba binafsi.
Aisee, kazi ipo
 
Yah, Alikua ananivimbia sana kwahyo nlifurahi mno.. Nikachange plate number Machafu...
 
Siwezi kuamini kama hili ni la kweli
Ni sahihi hata Kikwete aluwahi ongea hilo kuwa akiwa waziri kipindi cha Mwinyi walienda ikulu Raisi Akavunja baraza la mawaziri

Walirudi wengine kwao kwa miguu
Kuwa ukivuliwa uwaziri privilege zote za uwaziri zinakatika muda huo huo ikiwemo gari na dereva

Sababu ile ni gari ya waziri na dereva ni dereva wa waziri sasa utapandaje hiyo gari wakati wewe sio waziri?

Dereva alifanya sahihi kabisa
 
Ni sahihi hata Kikwete aluwahi ongea hilo kuwa akiwa waziri kipindi cha Mwinyi walienda ikulu Raisi Akavunja baraza la mawaziri

Walirudi wengine kwao kwa miguu
Kuwa ukivuliwa uwaziri privilege zote za uwaziri zinakatika muda huo huo ikiwemo gari na dereva

Sababu ile ni gari ya waziri na dereva ni dereva wa waziri sasa utapandaje hiyo gari wakati wewe sio waziri?

Dereva alifanya sahihi kabisa
Hizo ni enzi hizo mzee enzi hizi sidhani
 
Hizo ni enzi hizo mzee enzi hizi sidhani
Ulishaona hata siku Raisi mpya akiapishwa uwanja wa Taifa kinachotokea kwa Raisi anayeondoka madarakani?

Raisi anayeondoka utamuonea huruma .Dereva,walinzi,gari na mbwembwe zote za msafara huwa kwa heri ya kuonana mpya akishaapa tu kuanzia pale pale uwanjani

Utakuta katia huruma utafikiri yuko kituo chs daladala anasibiri usafiri

Hayo mambo yasikie tu.Ikitangazwa post huna
 
Ni sahihi hata Kikwete aluwahi ongea hilo kuwa akiwa waziri kipindi cha Mwinyi walienda ikulu Raisi Akavunja baraza la mawaziri

Walirudi wengine kwao kwa miguu
Kuwa ukivuliwa uwaziri privilege zote za uwaziri zinakatika muda huo huo ikiwemo gari na dereva

Sababu ile ni gari ya waziri na dereva ni dereva wa waziri sasa utapandaje hiyo gari wakati wewe sio waziri?

Dereva alifanya sahihi kabisa
Kama ukitumbuliwa upo Katavi kiserikali inamaana uachwe ujitafutie namna ya kurudi? Siku moja hizo drama zitafanya serikali ishtakiwe na kulipa pesa nyingi.
 
Dereva anabeba Mamlaka/cheo/nafasi habebi mtu. Hiki wengi hawajui na huwa wanawalaumu madereva wanapotimiza wajibu wao. Kumchukua kuongozi aliyekwisha tumbuliwa atafanya kimahusiano na sio kiutaratibu.

Sheria na miongozo ya madereva wa viongozi ni kubeba mamlaka/nafasi na sio mtu. Unapotengeliwa, dereva anatakiwa amfuate kiongozi mpya au akiwa hana mawasiliano naye anatakiwa aende ofisi mama (Wizarani,Mkoani, Wilayani n.k)
Na je aliendelea kukaa meza kuu kama Mgeni Rasmi wa shughuli ile ya E Fm??
 
Ni sahihi hata Kikwete aluwahi ongea hilo kuwa akiwa waziri kipindi cha Mwinyi walienda ikulu Raisi Akavunja baraza la mawaziri

Walirudi wengine kwao kwa miguu
Kuwa ukivuliwa uwaziri privilege zote za uwaziri zinakatika muda huo huo ikiwemo gari na dereva

Sababu ile ni gari ya waziri na dereva ni dereva wa waziri sasa utapandaje hiyo gari wakati wewe sio waziri?

Dereva alifanya sahihi kabisa
Mie sikubaliani na hili, na naona kama raisi akifanya hivi anakosa busara na ustaarabu.

Kama ambavyo unapaswa kumwambia kimbele mtu kabla ya kutangaza kumteua kuwa waziri, unapaswa kumtaarifu mtu kimbele kama unamtengua mtu uwaziri. Kinyume na hilo ni kukosa ustaarabu, hata kama wewe ni raisi.

Kuna shida gani kumwambia Nape, hata kutumia maofisa wa Ikulu, kwamba Raisi atatengua uwaziri wako, angalau hata masaa mawili kabla ya kutangaza rasmi? Wanaogopa mtu atatangaza kujiuzuru ili isionekane ametenguliwa? Kuteua au kutengua hakupaswi kuwa jambo la kushitukizana.

Haya mambo ya kukosa ustaarabu ndio maana wanaishia kuteua watu waliokufa
 
Mie sikubaliani na hili, na naona kama raisi akifanya hivi anakosa busara na ustaarabu.

Kama ambavyo unapaswa kumwambia kimbele mtu kabla ya kutangaza kumteua kuwa waziri, unapaswa kumtaarifu mtu kimbele kawma unamtengua mtu uwaziri. Kinyume na hilo ni kukosa ustaarabu, hata kama wewe ni raisi.

Kuna shida gani kumwambia Nape, hata kutumia maofisa wa Ikulu, kwamba Raisi atatengua uwaziri wako, angalau hata masaa mawili kabla ya kutangaza rasmi? Wanaogopa mtu atatangaza kujiuzuru ili isionekane ametenguliwa? Kuteua au kutengua hakupaswi kuwa jambo la kushitukizana.

Haya mambo ya kukosa ustaarabu ndio maana wanaishia kuteua watu waliokufa
With immediate effect unajua maana yake

Aweza enda ofisini akaharibu mtu documents na ushahidi nk ukimpa hata saa moja
Saa mbili hata moja ni nyingi mno

Hakuhitaji notice vyeo vikubwa .Unampiga with immediate effect na vitasa mara ingine hadi ofisini hubadikishwa na yeye kupigwa stop kuingia kwenye ofisi asije hujumu chochote
 
With immediate effect unajua maana yake

Aweza enda ofisini akaharibu mtu documents na ushahidi nk ukimpa hata saa moja
Saa mbili hata moja ni nyingi mno

Hakuhitaji notice vyeo vikubwa .Unampiga with immediate effect na vitasa mara ingine hadi ofisini hubadikishwa na yeye kupigwa stop kuingia kwenye ofisi asije hujumu chochote
Ataiba gari? In fact inaweza pia kuwa na ubaya kufanya hivyo. Kuna vitu anaweza asirudishe
 
Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je, ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape out, Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
hilo ni jambo la kawaida japo linaweza kua geni kwa wengi 🐒
 
Wewe ndio hujui. Dereva hapakizi mtu. Dereva anapakiza cheo/nafasi. Refer kwa Mwigulu wakati akiwa Waziri wa mambo ya ndani wakati wa JPM na alipoachwa wakati akiwa ziarani Kigoma.
Hivi hii habari ya Mwigulu kuachwa Kigoma ilikuwa ya kweli, mi nilidhan watu wanazusha tu
 
Back
Top Bottom