Ni kweli Dereva alimuacha Nape akiwa Ukumbini Mlimani City baada ya kupata taarifa bosi wake ametumbuliwa?

Ni kweli Dereva alimuacha Nape akiwa Ukumbini Mlimani City baada ya kupata taarifa bosi wake ametumbuliwa?

Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X
Nappe aliachwa , akaita bolt lakini madereva walikuwa wana-cancel maana walikuwa na wasiwasi wa kupotea. Naskia alikuja kupata bajaji ya Uber baadae sana.
 
Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je, ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X
Ni kweli kabisaaaa..
 
Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je, ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X
Ndiyo mi nilikuwepo, tulishuhudia Nape akitafuta uber na kuondoka. Nitaweka picha na video soon
 
Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je, ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X
Bila picha picha huwa hainogi.

Haya ya kitafuta nyama chini ya bakuli la mtori🙌🏾😌

NB. CHADEMA wakiiona V8(kama picha ipo) iliyomwacha Nape....watasema dereva alitumia mafuta ya walipa kodi kwa makosa.

Sijui Mdude angesemaje??
...saba mara sabini?
 
Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je, ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape out, Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Alipata wapi plate number za STK???
 
Sizan kam itifak inaelekez hvyo number ibadlishwe
Waziri akirudishwa nyumbani dereva anavyorudi peke yake anabadili plate number

General akifikishwa nyumbani dereva anaondoa zile 🌟🌟

Jaji hivyo hivyo 😂😂😂😂
 
Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je, ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape out, Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Madereva wa serikali wanayaweza hayo
 
Back
Top Bottom