Ni kweli Dereva alimuacha Nape akiwa Ukumbini Mlimani City baada ya kupata taarifa bosi wake ametumbuliwa?

Ni kweli Dereva alimuacha Nape akiwa Ukumbini Mlimani City baada ya kupata taarifa bosi wake ametumbuliwa?

Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X
Inasikitisha.......!
 
Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X
Kashai oyeeee!!!
 
Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X
Story za vijiweni tu hizo, anachoweza kufanya dereva ni kubadilisha plate number, siyo kumuacha
 
Joni, kwa taratibu za kiutumishi na nidhamu, huyo dereva kama kweli kafanya hivyo, kakosea sana kumuacha Nape, hilo ni kosa na dereva anaweza poteza kazi yake. Dereva hata kama boss wake katumbuliwa, inafaa amchukue na kumrudisha hadi nyumbani au ofisini kwake, kumbuka Nape bado hajakabidhi ofisi yake kwa Waziri mpya wakati tu ametumbuliwa, pia katika gari unaweza kuta kuna vitu vidogo vidogo vya Nape, mfano laptop au simu au nyaraka zake au nguo au hata kibegi chake, hivyo dereva kama kamuacha ni kosa.
Huo ndio utaratibu ulivyo ndio maana mara nyingi teuzi wanafanya usiku. Mara baada ya kuteuliwa kwa kiongozi mpya na mwingine kutenguliwa, Dereva anatakiwa amtafute na aripoti kwa mteuliwa mpya.

Hiko kilimtokoea mwigula enzi za JPM alikiwa ziarani Kigoma na akatengulowa huko. Utaratibu unamtaka dereva ambebe waziri/RC/DC/DED anayetakiwa na aliyepo kwenye nafasi na sio vinginevyo.

Dereva hajakosea mkuu.
 
Back
Top Bottom