Ni kweli Dereva alimuacha Nape akiwa Ukumbini Mlimani City baada ya kupata taarifa bosi wake ametumbuliwa?

Ni kweli Dereva alimuacha Nape akiwa Ukumbini Mlimani City baada ya kupata taarifa bosi wake ametumbuliwa?

Ata uyo dereva ugali wake wa kumuendesha waziri upo hatarini,

mara nyingi akiteuliwa mtu mwengine anapendekez derev mwengine wa kumuendesha.

Wanafanya ivo coz hao wakubwa wana mambo yao ya siri lazima wapate maderev wanao waamini wakuzunguka kwenye mishe zao za siri.
 
Kwa kweli Nape Januari na Mwigu....wanaona hii nchi ni yao. Wana haki nayo kunizidi mimi muuza mkaa wa mafungu hapa Matosa.
 
Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je, ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape out, Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Hakuna dereva wa serikali anayeweza kufanya jambo la kijinga kama hili.Sio kila mnaloambiwa lazima mliamini,changanya na za kwako.
 
Kumbuka, mpaka muda huo walikuwa wote field na Waziri alikuwa na kazi ya kiofisi, na documents zote muhimu za wizara anazo kwenye laptop na mkoba wake, unamuachaje bila kuzungatia usalama wa nyataka za serikali? Unatarajia itakabidhi nini ofisini kwa anaye mrithi?
Kuhusu plates namba, madereva wote wa viongozi hadi majaji huwa wanakuwa nazo, waziri/ kiongozi akiwa hayumo namba za title yake huondolewa na kuwekwa za kiraia au kukiwa na hatari ambapo inabidi kiongozi kulindwa namba hubadilishwa.
Acha uongo. Ni kuanzia lini waziri anatembea na laptop au mkoba binafsi wenye document za ofisi? Mi mtumishi wa Serikali nauza madafu. Katika kifanyiwa vetting huruhusiwi kutembea na vitu/document vya ofisi kama vitu vyako binafsi. Inatakiwa akamatwe mama alitembea na nyarama za serikali kwenye mkoba binafsi.
 
Kumbuka, mpaka muda huo walikuwa wote field na Waziri alikuwa na kazi ya kiofisi, na documents zote muhimu za wizara anazo kwenye laptop na mkoba wake, unamuachaje bila kuzungatia usalama wa nyataka za serikali? Unatarajia itakabidhi nini ofisini kwa anaye mrithi?
Kuhusu plates namba, madereva wote wa viongozi hadi majaji huwa wanakuwa nazo, waziri/ kiongozi akiwa hayumo namba za title yake huondolewa na kuwekwa za kiraia au kukiwa na hatari ambapo inabidi kiongozi kulindwa namba hubadilishwa.
Acha uongo. Ni kuanzia lini waziri anatembea na laptop au mkoba binafsi wenye document za ofisi? Mi mtumishi wa Serikali nauza madafu. Katika kifanyiwa vetting huruhusiwi kutembea na vitu/document vya ofisi kama vitu vyako binafsi. Inatakiwa akamatwe mama alitembea na nyarama za serikali kwenye mkoba binafsi.
 
Ata uyo dereva ugali wake wa kumuendesha waziri upo hatarini,

mara nyingi akiteuliwa mtu mwengine anapendekez derev mwengine wa kumuendesha.

Wanafanya ivo coz hao wakubwa wana mambo yao ya siri lazima wapate maderev wanao waamini wakuzunguka kwenye mishe zao za siri.
Dereva ni muajiriwa mkuu. Hata aje nani na amuweke pembeni, yeye ataendesha gari au wizara nyingine tu mkuu.
 
1719773225883.jpg
 
Hakuna dereva wa serikali anayeweza kufanya jambo la kijinga kama hili.Sio kila mnaloambiwa lazima mliamini,changanya na za kwako.
Wewe ndio hujui. Dereva hapakizi mtu. Dereva anapakiza cheo/nafasi. Refer kwa Mwigulu wakati akiwa Waziri wa mambo ya ndani wakati wa JPM na alipoachwa wakati akiwa ziarani Kigoma.
 
Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza

Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.

Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM

Je, ni Kweli?

Kwako Maranja wa Chadema X

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape out, Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kama ni kweli basi utakuwa ukatili wa hali ya juu.
 
Hatusemi alikosa usafiri. Tunauliza, ni kweli aliachwa?
Kama katenguliwa kuachwa ndicho kinachofata, kama hakuachwa muda huo basi hakufatwa asubuhi.

Hahahaa, unajua tunasahau kuwa hizo nafasi zipo tu kwa ajili ya wanachama wa ccm na Nape popote alipo ni ccm wale cream kabisa.
 
Back
Top Bottom