Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Hata akiwa mtumiaji ni yeye na maisha yake..atajijua mwenyewe
 
Chawa wapo tu best..kuna chawa wa Nick Minaj kazi yao kudiss other female rappers..kuna Bey Hives matusi kama yote..hawaagizwi ni ujinga ujinga tu mtu unaweza kusema wanalipwa ila hamna kitu.
Nimekutolea mfano wa baby mamaz zake. Halafu hiyo Marekani sio bongo. Chawa wa mbongo anataka apewe hela au apate support flani. Hamna mtu ataruhusu mama watoto wake atukanwe. Tena wale chawa wanaongeaga mambo ya ndani kabisa kama hawaambiwi na Diamond wanayatoa wapi
 
Nimekutolea mfano wa baby mamaz zake. Halafu hiyo Marekani sio bongo. Chawa wa mbongo anataka apewe hela au apate support flani. Hamna mtu ataruhusu mama watoto wake atukanwe. Tena wale chawa wanaongeaga mambo ya ndani kabisa kama hawaambiwi na Diamond wanayatoa wapi
Sasa huyo Dai ana hela gani ya kulipa hadi chawa? [emoji23][emoji23]

Mimi naona naongea na mtu mwenye timu yake hapa..na mimi ligi za timu siziwezi yani..
 
Sasa huyo Dai ana hela gani ya kulipa hadi chawa? [emoji23][emoji23]

Mimi naona naongea na mtu mwenye timu yake hapa..na mimi ligi za timu siziwezi yani..
Mimi naona naongea na mtu anayesoma kujibu sio kuelewa. Bye.
 
Hayo makovu ya harmonize ni sababu ya nini shosti?
madhara yapo palepale especially ukiji overdose. .

ila hii grade A ni pure powder. huwezi kuifananisha na yale matakataka wanayotumia mateja wachafu wapiga debe wanaopatikana kwenye vituo vya daladala.
 
Je umesikia chawa wa Diamond vile huwa wanawasakama opponents wa mondi. Na ni wazi Diamond yuko nyuma yao kwa kuwaagiza moja kwa moja au anafurahia wanachofanya. Diamond angalia hata baby mamaz wake akiachana nao huwa hatoki mbele yeye ila chawa wake watamsakama huyo mwanamke mpaka atamani kujinyonga huko aliko. Kama angekua hataki au hawatumi angekua anawakataza nani ambaye angeruhusu mama mtoto wake kusemwa vibaya na watu wako wa karibu kama sio wewe unawatuma.

Kwahiyo kwenye swala la kuwasema wenzie Diamond anatumia watu wake yaani yeye akitoka mbele kuongea ujue anaona anazidiwa au anataka iwe kiki yake. Na ndio kitu Harmonize kinamkera kama umesikiliza ile interview yake. Kwanini watu wa WCB wanamsema sana hamuachi afanye mambo yake kwa amani.
Hakika kabisa yaan.
 
Je umesikia chawa wa Diamond vile huwa wanawasakama opponents wa mondi. Na ni wazi Diamond yuko nyuma yao kwa kuwaagiza moja kwa moja au anafurahia wanachofanya. Diamond angalia hata baby mamaz wake akiachana nao huwa hatoki mbele yeye ila chawa wake watamsakama huyo mwanamke mpaka atamani kujinyonga huko aliko. Kama angekua hataki au
Kabisaa na analike kabisaa!!!
 
Wewe mtu anayetumia ngada humjui hata kwa kumuona? Wewe ukimuangalia Diamond huoni kabisa kuwa anatumia mihadarati???
Baada ya Ile interview ya Harmonize Jana 18 Nov 2021 nimeamua kumuomba Mungu ampige Diamond kwa huo unga mpaka afikre level ya Yule Jamaa wa "Home Alone". Yaani awe ni kulala Tu. Yaani anatesa vijana kwa kuwa hawajui watokee wapi. Ila Mungu kamuona Harmonize.
 
Daimond sura yake inaonesha anatumia na ni mtu mwenye Stress mno.
Abwiye unga mpaka afe kabisa mhuni huyu. Si ajabu ndiyo Moja ya wafadhili wa nganda. Ndiyo maana kama utaangalia kiundani hakumpenda JPM. Makonda alimtikisa Ila ikaishia hewani. Iko siku itajibu.
 
Kiukweli Mondi anatumia Unga, inaumiza lakini ndio ukweli sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzao, hakika umaarufu una gharama sana.
Yaani nataka awe kama zezeta kabisa. Na huenda ni mfadhili wa hiyo biashara
 
Hapa duniani hakuna kitu kibaya na chenye nuksi kama kumkataa baba yako au Mlezi wako, tena in public, hata uwe bilionea namba moja Africa.
Mkuu umenena. Na hii itamgharimu Sana Mkuu. Baba uliyemkojolea usiku na mchana. Akakubeba eti unakuja kumkana hadharani kwa dharau kabisa. Yaani huyo ndiyo Baba yake no matter what. Anguko linakuja.
 
Harmonize ajifunze kuandika, jamaa ana uandishi m'bovu sana.

Hata katika captions zake kwenye mitandao ya kijamii uandishi wake wa ajabu ajabu.

Bado ana element za kishamba.

Mwanaume umeshatoka na kuamua kujitafutia ya nini kuanza kufuatana na mwanaume mwenzio kukesha kuandikiana upuuzi.

Suala la mtu kutumia unga ni starehe yake kama zilivyo starehe zingine kuanza kufuatiliana kuandikiana kwa status na insta story huu ni utoto.

Mwanaume kuwa na element za kike kutupiana maneno siyo ishara nzuri hata kidogo.

Zaidi ya yote ajifunze kuandika na amtafute Ras Simba amnoe kidogo lugha ya malkia ambayo nayo anavuruga sana.
Kila siku wao wanamtafuta kupitia chawa walionunuliwa simu za Tecno na bando. Wamemtukana Sana Harmonize. Ametoa Album juzi tu wakahaha wote. Uvumilivu Una mwisho. Walisema Sana akakaa kimya sasa amewajibu moja kwa Moja bila kufunga macho.
 
Baada ya Ile interview ya Harmonize Jana 18 Nov 2021 nimeamua kumuomba Mungu ampige Diamond kwa huo unga mpaka afikre level ya Yule Jamaa wa "Home Alone". Yaani awe ni kulala Tu. Yaani anatesa vijana kwa kuwa hawajui watokee wapi. Ila Mungu kamuona Harmonize.
Hiyo nguvu unayotumia kumuombea diamond si ujiombee mwenyew mambo yako ya nyooke
 
KUNA MTU ALIDHANI KWAMBA AKITOKA WCB NA KUANZISHA LEBO YAKE ATAKUWA TAJIRI KAMA MWENZIE,KUENDESHA LEBO SIO KAMA KUENDESHA SHAMBA LA KOROSHO NA USIONE MTU ANAFANYA HIVI UKAJUA NA WEWE UTAWEZA,LAZIMA UDATE

KUNA MTU ALITOA ALBUM KARIBUNI AMBAYO KWA NAMNA MOJA NA NYINGINE HAIJAFANYA POA KABISA KATIKA SOKO LA KIDIJITARI YANI DIGITAL PLATFORMS.MWISHO WA SIKU ANAANZA KUTAFUTA KIKI

HAKUNA KITU KINAUMA KAMA KUMSEMA MTU AMBAYE HAKUJIBU,INAUMIZA SANA
Aaahh wapi. Kakuambia Nani Album imebuma? Hatafuti Kiki Ila mlitenga ugali ameweka mboga Safi juu. Tunasubiri wenye jukumu na simu za techno wanunuliwe bando waje kutapika. Chawa hao Ila ndiyo Harmonize hawamkuti tena dunia hii. Yuko mbali. Na Lebo itakua Tu. Hata huyo mla unga Mondi hakuanzia hapo alipo. Aliswagwa na Clouds akakomaa akatoka na yeye ameswaga wasanii wakajifia Ila Harmonize ametoboa. Na ndiyo maana walimbeza eti ukitoka WCB atakufa kimziki. Mbona hajafa mpaka Leo hii? Mtasubiri Sana.
 
Back
Top Bottom