The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wewe mtoto wa Mama huwezi kujua struggle za life,mabadiliko yeyote,mapambano yeyote huanza na fikra,kisha mipango,halafu self confidence,Ni kauli za watu wavivu wanaotaka kutuonesha kuwa wako serious na maisha. Kiukweli ni watu wa kijipa moyo tu.
Eti get rich or die trying😆😆
Aah! Sawa 😊Uliivyoelezea hapo acha tu nibaki na umasikini wangu ili niishi kwa amani una pesa lakini hauna amani wala furaha
Huyo tayari rinda hana ndo maana alipata ujasiri wa kuongea hivyo.Kuna member comment zilizopita anasema yupo tayari kwa kafara au kutolewa rinda ilimradi tu apate utajiri.
Huu uzi upigwe pin hii iwe post ya mwisho na ikolezwe winoWajinga nendeni PM mkaombe nafasi ya kujiunga na Ubrotherhood.
Mkuu, watandike.
I think ni kujiweka kidemu, kujidadaisha[emoji23]. Kujilegeza kama demuKudemuka ndio nini ?
Katka kuishi kwangu kuna kitu umekiongezea hapo...Hizi nchi za kusadikika ambazo gap ya kipato ni kubwa ndio kuna watu wanahangaika na utajiri kwa sababu ya dhiki walizonazo, ila first world kila anayefanya kazi anapata mahitaji yake ya msingi watu hawahangaiki na swala la utajiri.
Utajiri unawasumbuwa watu maskini ili waondokane na dhiki.
ShafineyzSitaki kuandika mengi, tutakwenda kwa lugha ya Picha tu, tuwe makini na watu, ukione Picha kama hizi usitamani haya maisha utapelekwa shimoni.
Nilikuwa na conversation ya kuboost biashara zangu na jamaa Fulani ambaye tumefahiana kama mwaka sasa, nikashauriwa nitambulishwe kwenye brotherhood, kwanza Mimi ukiniambia tu neno brotherhood moja kwa moja nakumbuka filamu ya Nigeria Billionaires club ya Pete Edochie na Madon wenzake.
Nina story ndefu na ya kweli ila nawashauri wote tupambane na umaskini tuvumilie shida zina mwisho Mungu atatufanyia wepesi, hawa jamaa mwisho wa siku huwa wanataka kafara ya damu.
Huo Utajiri upo. Unless uwe na uelewa mdogo wa Dunia hiyoSiamini na hakuna katika utajiri wa kishirikina. Nitaendelea kuwashangaa hivi hivi
Hapa umeongea. Matajiri ni Mafia sana. Huwez kuwa tajiri kama sio mafia "in kind"Mada ya kidada sana hii,
Hakuna utajiri ambao hauna umafia,endelea kukaa kwa bimkubwa mpaka akili ikukomae.
Rubbish.
Mm pia nilishangaa mbona jamaa habandui bandui bongo dadazNdio maana nimeweka Picha zake tofauti, yani usione mtu yuko hivyo ndio ukadhani amefanikiwa.
Halafu huwezi kumuona na demu, sasa good time lote bila mrembo wa kukufanyia massage pembeni kuna raha gani?
Sio kweli mkuu labda usipate njia sahihi mimi naamini katika hilo...Uta late sasa
Tungeushi milele maisha yangekua hayana thamani..Huo utajiri ungekuwa na maana Kama tungekuwa tunaishi milele
Hakuna Freemason wanaotoa hela za bure bure.Get rich or die tryin'
Mada ya kidada sana hii.
Dunia nzimaIngelikuwa utajiri unapatikana ivo ingekuwa Africa sote matajiri [emoji23][emoji23][emoji23]
UmenenaNgono Ni starehe za masikini
Leo Boss asubuhi asubuhi amebeba pesa ya breakfast.😀😀Mm pia nilishangaa mbona jamaa habandui bandui bongo dadaz
Sasa mbona huwa hauna akili kama ni mtu mzima hivyo?Kwani mkuu hiyo Avatar yake haiwezi kukupa majibu ni mtu wa aina gani huyu.
First born wangu anafanya Masters University, second born yupo high school, na wengine wapo secondary na nina extended family.
Kuna wakati humu watu wengine unawaangalia na kuwaacha kama walivyo.
Na ipo Afrika tu kwa ngozi nyeusiUmasikini unafanya mtu aone waliofanikiwa ni freemason...ndugu wa tajiri akifa ni kafara ila ndugu wa masikini akifa ni bahati mbaya [emoji16][emoji16]
Kwani watu wote wazima huwa na akili?Sasa mbona huwa hauna akili kama ni mtu mzima hivyo?