Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

Ni kauli za watu wavivu wanaotaka kutuonesha kuwa wako serious na maisha. Kiukweli ni watu wa kijipa moyo tu.

Eti get rich or die trying😆😆
Wewe mtoto wa Mama huwezi kujua struggle za life,mabadiliko yeyote,mapambano yeyote huanza na fikra,kisha mipango,halafu self confidence,

Mimi nakomaa na box na life linaenda sawia kabisa,wewe endelea kusubiri ugali wa shikamoo hapo kwa Bi mkubwa.
 
Hizi nchi za kusadikika ambazo gap ya kipato ni kubwa ndio kuna watu wanahangaika na utajiri kwa sababu ya dhiki walizonazo, ila first world kila anayefanya kazi anapata mahitaji yake ya msingi watu hawahangaiki na swala la utajiri.

Utajiri unawasumbuwa watu maskini ili waondokane na dhiki.
Katka kuishi kwangu kuna kitu umekiongezea hapo...
 
Sitaki kuandika mengi, tutakwenda kwa lugha ya Picha tu, tuwe makini na watu, ukione Picha kama hizi usitamani haya maisha utapelekwa shimoni.

Nilikuwa na conversation ya kuboost biashara zangu na jamaa Fulani ambaye tumefahiana kama mwaka sasa, nikashauriwa nitambulishwe kwenye brotherhood, kwanza Mimi ukiniambia tu neno brotherhood moja kwa moja nakumbuka filamu ya Nigeria Billionaires club ya Pete Edochie na Madon wenzake.

Nina story ndefu na ya kweli ila nawashauri wote tupambane na umaskini tuvumilie shida zina mwisho Mungu atatufanyia wepesi, hawa jamaa mwisho wa siku huwa wanataka kafara ya damu.
Shafineyz
 

Attachments

  • FB_IMG_1688622409011.jpg
    FB_IMG_1688622409011.jpg
    54.1 KB · Views: 5
Kwani mkuu hiyo Avatar yake haiwezi kukupa majibu ni mtu wa aina gani huyu.

First born wangu anafanya Masters University, second born yupo high school, na wengine wapo secondary na nina extended family.

Kuna wakati humu watu wengine unawaangalia na kuwaacha kama walivyo.
Sasa mbona huwa hauna akili kama ni mtu mzima hivyo?
 
Back
Top Bottom