National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Sobotoooooo π€£π€£π€£ jamaa anakula bata kwa machale sanaaaa.. maana masharti mengi hata kupiga kazi kali kali sidhaniIna maana wako sawa na akina gates zucker π
Maana japo sina gari ila naona mitumba tu tena ya miaka 10 nyuma πSobotoooooo π€£π€£π€£ jamaa anakula bata kwa machale sanaaaa.. maana masharti mengi hata kupiga kazi kali kali sidhani
Kati ya misuli na pesa za matunzo kipi bora kwakoMbona wote warembo? Hakuna mwenye misuli
Huenda hivi vyuma vyake vipo garage π πMaana japo sina gari ila naona mitumba tu tena ya miaka 10 nyuma π
[emoji1787] aah siku hizi hiyo biashara nimeacha. Sitaki kununiwa.Mpigie simu tu [emoji28][emoji28][emoji28]
hutaki utajiri rafiki yangu ππ[emoji1787] aah siku hizi hiyo biashara nimeacha. Sitaki kununiwa.
Nataka lkn sio huu unaozungumziwa hapa.hutaki utajiri rafiki yangu [emoji4][emoji4]
Nitakuwa mpambe wako
Bodyguard chawaaaa [emoji28][emoji28]
π π π dah! wakitaka mtu wa kafara nitoe mieNataka lkn sio huu unaozungumziwa hapa.
Kati ya misuli na pesa za matunzo kipi bora kwako
Nimeona jamaa zinajiongezaa tu kwenye ka box, na sehemu zingine zipo kwenye ndoaa ana ka machine kake kakuhesabia maokoto π πMaokoto haya
[emoji23][emoji23] Akaa!! sitaki kabisa hayo mambo. Bora uishi maisha ya kawaida ukiwa na amani zako tele.[emoji28][emoji28][emoji28] dah! wakitaka mtu wa kafara nitoe mie
amani uitoe wapi Kelsea ππ[emoji23][emoji23] Akaa!! sitaki kabisa hayo mambo. Bora uishi maisha ya kawaida ukiwa na amani zako tele.
π π π ndio niweke vocha hapa nimpigie ila utanisindikiza sasa nikihitajikaEe kula pesa zako niko tayari. Kwa hiyo tunafanyaje?
[emoji23][emoji23] pesa zikianza kujaa ndio unicheki[emoji28][emoji28][emoji28] ndio niweke vocha hapa nimpigie ila utanisindikiza sasa nikihitajika
Kuna mtu mzima anayefuatilia maisha ya watu? una watoto wakubwa ila unaleta mambo za kitoto.Kwani mkuu hiyo Avatar yake haiwezi kukupa majibu ni mtu wa aina gani huyu.
First born wangu anafanya Masters University, second born yupo high school, na wengine wapo secondary na nina extended family.
Kuna wakati humu watu wengine unawaangalia na kuwaacha kama walivyo.
kama hizi utakuwa una hesabu tu eeh ππ[emoji23][emoji23] pesa zikianza kujaa ndio unicheki
Na chuma kama hizi kuna madogo bongo hii wana sukuma bila ndumba πHuenda hivi vyuma vyake vipo garage π π
View attachment 2679227View attachment 2679228View attachment 2679229View attachment 2679230View attachment 2679231