Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

Nimekwambia siyo yeye unalazimisha vipi, huyu Mimi namjuwa personal ndio maana sijaandika jina lake Nina makusudi ya kutokuandika jina lake
Mkuu Dr Matola PhD kama itakupendeza ungemwaga dondoo kidogo.. wanasema kweli inawaweka watu huru. Hapo Picha zimewapa watu shauku ya kutaka kujua, wengine watakuja potosha humu kupitia hizo hizo picha kama huyo ambae anasema anaitwa nani nani sijui don
 
Sijaona
1. Mercedes Benz Maybach GLS au S
2.Bentley flying spur
3. Rolls Royce phantom, Ghost au Cullinan
4. BMW 7 series etc

Hata Kama ni magari hayo siko tayari kutoa kafara

Wapuuzi wanatoa kafara ili Kununua makopo ya kijapan, shame on them
labda hayo tajwa yapo garage
 
Sitaki kuandika mengi, tutakwenda kwa lugha ya Picha tu, tuwe makini na watu, ukione Picha kama hizi usitamani haya maisha utapelekwa shimoni.

Nilikuwa na conversation ya kuboost biashara zangu na jamaa Fulani ambaye tumefahiana kama mwaka sasa, nikashauriwa nitambulishwe kwenye brotherhood, kwanza Mimi ukiniambia tu neno brotherhood moja kwa moja nakumbuka filamu ya Nigeria Billionaires club ya Pete Edochie na Madon wenzake.

Nina story ndefu na ya kweli ila nawashauri wote tupambane na umaskini tuvumilie shida zina mwisho Mungu atatufanyia wepesi, hawa jamaa mwisho wa siku huwa wanataka kafara ya damu.
Doctor Shafiiii ze Don 😂😂😂
 
Back
Top Bottom