Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Salaam Wakuu,
Kuna video itambea sasa hivi ikionesha kiwango cha maji kuwa chini sana kuliko kawaida! Nina imani hili limeshawafikia Wizara ya Maji, DAWASA, ukweli ni upi? Hii ndio hali halisi ya kina cha maji sasa?
Ni bora tukaambiwa ukweli ili tuwe na mkakati haraka wa jinsi ya kukabiliana na hali hii. Maana mtaani majibu ni yale yale lakini huduma inazidi kuzorota kadri siku zinavyoenda!
Kuna video itambea sasa hivi ikionesha kiwango cha maji kuwa chini sana kuliko kawaida! Nina imani hili limeshawafikia Wizara ya Maji, DAWASA, ukweli ni upi? Hii ndio hali halisi ya kina cha maji sasa?
Ni bora tukaambiwa ukweli ili tuwe na mkakati haraka wa jinsi ya kukabiliana na hali hii. Maana mtaani majibu ni yale yale lakini huduma inazidi kuzorota kadri siku zinavyoenda!