Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
emu tupiamo na tupicha twa nyumba ya mjomba wako go!!!Wakuu lem declare interest Kwamba mm ni Sehemu ya Eng. Usiri ambae Alikuwa ni Land Lord Wa Msanii Harmonize.
Msanii harmonize ni Kweli anadaiwa Kodi na Mjomba Yangu Wangu Eng. Usiri na Aliondoka Pale Mbezi Usiku Bila Kuaga na Mpaka Sasa Ajakabidhi Nyumba Ya Eng. Usiri.
Hata Wakili wake Amekuwa Hataki Kupokea any documents Ambayo inayohusiana na Rent dispute ya Mteja wake.
Angalia nimetuma video Mkuuemu tupiamo na tupicha twa nyumba ya mjomba wako go!!!
(unisamehe mimi ni mjita)
Punguza kisugar KijanaNendeni polisi au mahakamani.
Sasa mitandaoni mnatafuta nini, mabwana !!????
Juma3 tunafile application DLHT Kinondoni MkuuSi muende mahakamani
punguza makasiriko, wamakonde mmekua mkijitapa sana na huyu jamaa yenu kumbe hata Kodi inamshinda ..Kwahyo?
Wametuletea Ubuyu..Nendeni polisi au mahakamani.
Sasa mitandaoni mnatafuta nini, mabwana !!????
Kumbe?punguza makasiriko, wamakonde mmekua mkijitapa sana na huyu jamaa yenu kumbe hata Kodi inamshinda ..
Lakini umejiandaa kupambana na wamakonde humu ?? ..Wakuu lem declare interest Kwamba mm ni Sehemu ya Eng. Usiri ambae Alikuwa ni Land Lord Wa Msanii Harmonize.
Msanii harmonize ni Kweli anadaiwa Kodi na Mjomba Yangu Wangu Eng. Usiri na Aliondoka Pale Mbezi Usiku Bila Kuaga na Mpaka Sasa Ajakabidhi Nyumba Ya Eng. Usiri.
Hata Wakili wake Amekuwa Hataki Kupokea any documents Ambayo inayohusiana na Rent dispute ya Mteja wake.View attachment 1940747
Kumbe vita ya kikabila.punguza makasiriko, wamakonde mmekua mkijitapa sana na huyu jamaa yenu kumbe hata Kodi inamshinda ..
Hili ni jukwaa la udaku haswa wa celebrities hivyo mada iko sehemu sahihi, kuna majukwaa ya siasa anayeyata anayafuata huko.Nendeni polisi au mahakamani.
Sasa mitandaoni mnatafuta nini, mabwana !!????
Wamakonde wanakelele ni balaa, wanampambania celebrity wao mpaka wanasahau kuwa hili jukwaa linahusu kitu gani.Lakini umejiandaa kupambana na wamakonde humu ?? ..
emu tupiamo na tupicha twa nyumba ya mjomba wako go!!!
(unisamehe mimi ni mjita)