mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
Ebu acha ujinga😂emu tupiamo na tupicha twa nyumba ya mjomba wako go!!!
(unisamehe mimi ni mjita)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu acha ujinga😂emu tupiamo na tupicha twa nyumba ya mjomba wako go!!!
(unisamehe mimi ni mjita)
😂wajita wanafurahisha sanaEbu acha ujinga😂
Mbaya zaidi ameacha KY Jerry ambayo imebaki robo tu.Wakuu lem declare interest Kwamba mm ni Sehemu ya Eng. Usiri ambae Alikuwa ni Land Lord Wa Msanii Harmonize.
Msanii harmonize ni Kweli anadaiwa Kodi na Mjomba Yangu Wangu Eng. Usiri na Aliondoka Pale Mbezi Usiku Bila Kuaga na Mpaka Sasa Ajakabidhi Nyumba Ya Eng. Usiri.
Hata Wakili wake Amekuwa Hataki Kupokea any documents Ambayo inayohusiana na Rent dispute ya Mteja wake.View attachment 1940747
Product ya old moshi!Wakuu lem declare interest Kwamba mm ni Sehemu ya Eng. Usiri ambae Alikuwa ni Land Lord Wa Msanii Harmonize.
Msanii harmonize ni Kweli anadaiwa Kodi na Mjomba Yangu Wangu Eng. Usiri na Aliondoka Pale Mbezi Usiku Bila Kuaga na Mpaka Sasa Ajakabidhi Nyumba Ya Eng. Usiri.
Hata Wakili wake Amekuwa Hataki Kupokea any documents Ambayo inayohusiana na Rent dispute ya Mteja wake.View attachment 1940747
😂😂wajita wanafurahisha sana
Atawaambia mashabiki wake mwenye nyumba katumwa na WCB hiyo ndio namna yake ya kuficha matatizo yake... nao wakishaambiwa hivyo wanaingia huruma wanaanza kushambulia kama mafisiWakuu lem declare interest Kwamba mm ni Sehemu ya Eng. Usiri ambae Alikuwa ni Land Lord Wa Msanii Harmonize.
Msanii harmonize ni Kweli anadaiwa Kodi na Mjomba Yangu Wangu Eng. Usiri na Aliondoka Pale Mbezi Usiku Bila Kuaga na Mpaka Sasa Ajakabidhi Nyumba Ya Eng. Usiri.
Hata Wakili wake Amekuwa Hataki Kupokea any documents Ambayo inayohusiana na Rent dispute ya Mteja wake.View attachment 1940747
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Atawaambia mashabiki wake mwenye nyumba katumwa na WCB hiyo ndio namna yake ya kuficha matatizo yake... nao wakishaambiwa hivyo wanaingia huruma wanaanza kushambulia kama mafisi
Mzee umeona jamaa wamekuta yale mafuta pendwa mule ndani😂😂[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kwa Hyo Sarah alikuwaga anafumiliwa Linda [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mzee umeona jamaa wamekuta yale mafuta pendwa mule ndani[emoji23][emoji23]
Ova
Vanessa mdee hali hiyo ilimtesaga sanaJambo moja hatufaham na hatujui wengi wetu ni kua WASANII WA APA TZ NJE YA CAMERA NI WANA HALI ZA KAWAIDA MNOO KAMA SIO NGUMU KABISAAA
Hahaha aiseKwa Hyo Sarah alikuwaga anafumiliwa Linda [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hajalipa Na Kesho Tunaenda Kufile Kesi Baraza La Ardhi na Nyumba KinondoniHahaha aise
Vp bado hajamlipa injinia
Ova