mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Naijua...kna apartments fulani za mgosi mmojaYes Kumbe Unapajua
Kna mwanangu mmj kapanga...
Hapo nishashudia ndundi sna mpk Getini 😂
Za h na s....
Naipata hiyo nyumba vzr
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naijua...kna apartments fulani za mgosi mmojaYes Kumbe Unapajua
Alafu eng Usiri mbn mtu poa sanaEng. Usiri amekuwa akimtafuta Sana Lakini Jamaa halitaki Kukutana na Eng. Basically Ile Kodi Ya Mwanzo Allipa Sarah Maana Jamaa Mkwanja Hana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naijua...kna apartments fulani za mgosi mmoja
Kna mwanangu mmj kapanga...
Hapo nishashudia ndundi sna mpk Getini [emoji23]
Za h na s....
Naipata hiyo nyumba vzr
Ova
Mstaarabu Sana Aiseeeh Sasa, ustaarabu was eng. Ndio Yule Dogo anautumiaAlafu eng usiri mbn mtu poa sana
Ova
Akae mezani azungumze kiume!Mstaarabu Sana Aiseeeh Sasa, ustaarabu was eng. Ndio Yule Dogo anautumia
Acha TuoneshaneAkae mezani azungumze kiume!
Sasa mpaka mnapelekana mbele
Ujue mtu kachoka sound
Ova
Ndomana wengine nyumba zao wakishajua ni msanii basi hawakupangishiAcha Tuoneshane
Huu mziki nauwezaWakuu lem declare interest Kwamba mm ni Sehemu ya Eng. Usiri ambae Alikuwa ni Land Lord Wa Msanii Harmonize.
Msanii harmonize ni Kweli anadaiwa Kodi na Mjomba Yangu Wangu Eng. Usiri na Aliondoka Pale Mbezi Usiku Bila Kuaga na Mpaka Sasa Ajakabidhi Nyumba Ya Eng. Usiri.
Hata Wakili wake Amekuwa Hataki Kupokea any documents Ambayo inayohusiana na Rent dispute ya Mteja wake.View attachment 1940747
Inaelekea dogo akishakwega bangi kadhaa anawaza wapi pa kupakua kisanvu cha kopo, hilo si tatizo sana bali ujinga wa kutoka vijijini na kushindwa kuelimika kuhusu hygiene yaani hata ku flush vyoo tu wanaona shida. Inajulikana wamekulia kwenye vyoo vya shimo lakini wanajisahau vipi kama wako town, kinyaa sana.Mzee umeona jamaa wamekuta yale mafuta pendwa mule ndani[emoji23][emoji23]
Ova
Italians huo mchezo wanaupenda sana, ina maana pale channel O iko wazi kama kishimo cha golf.Kwa Hyo Sarah alikuwaga anafumiliwa Linda [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
HahahaInaelekea dogo akishakwega bangi kadhaa anawaza wapi pa kupakua kisanvu cha kopo, hilo si tatizo sana bali ujinga wa kutoka vijijini na kushindwa kuelimika kuhusu hygiene yaani hata ku flush vyoo tu wanaona shida. Inajulikana wamekulia kwenye vyoo vya shimo lakini wanajisahau vipi kama wako town, kinyaa sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uzi wa mn'garisha viatu wa mjomba [emoji23]
Tena kero haswa yaani!!!!Ukiwapangisha wasanii wa kibongo nyumba yako,hesabu maumivu
Maana ni kero
Ova
Video uliyoitoa kwa jaymaudaku sio?Angalia nimetuma video Mkuu
Mvuta bangi na usafi wapi na wapi mkuu?Mzee wa watu mstaarabu sana masikini. Harmonize alivyohamia alikua anajidai sana akipita mtaani anashusha vioo mumuone [emoji23][emoji23][emoji23] akifika kwenye bodaboda anasalimia na kusalimia. Ila watu tulijua tu yeye sio mlipa kodi.
Harmonize anaonekana mchafu chafu ndio maana hata wameacha mauchafu yao vyooni..
Kilichonisikitisha n uchafu tyuuh wa pale ktk nyumba. Mmmmh.Mzee wa watu mstaarabu sana masikini. Harmonize alivyohamia alikua anajidai sana akipita mtaani anashusha vioo mumuone [emoji23][emoji23][emoji23] akifika kwenye bodaboda anasalimia na kusalimia. Ila watu tulijua tu yeye sio mlipa kodi.
Harmonize anaonekana mchafu chafu ndio maana hata wameacha mauchafu yao vyooni..