Ni kweli Harmonize anadaiwa Kodi Na Eng. Usiri

Yes Kumbe Unapajua
Naijua...kna apartments fulani za mgosi mmoja
Kna mwanangu mmj kapanga...
Hapo nishashudia ndundi sna mpk Getini πŸ˜‚
Za h na s....
Naipata hiyo nyumba vzr

Ova
 
Naijua...kna apartments fulani za mgosi mmoja
Kna mwanangu mmj kapanga...
Hapo nishashudia ndundi sna mpk Getini [emoji23]
Za h na s....
Naipata hiyo nyumba vzr

Ova
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mstaarabu Sana Aiseeeh Sasa, ustaarabu was eng. Ndio Yule Dogo anautumia
Akae mezani azungumze kiume!
Sasa mpaka mnapelekana mbele
Ujue mtu kachoka sound

Ova
 
Duh..
inanikumbusha nilivyokuwaga napangishia watu kanyumba kangu, na bado kalikuwa na mortgage
Aisee, wapangaji wengine ni watakupa magonjwa ya moyo na unazeeka mapema...
Mmakonde aling'ata limnofu likubwa sasa anashindwa kutafuna....
 
Huu mziki nauweza
Nauweza naujua na kucheza
 
Mtafuteni na mkimpata mvunjeni kikoba chake "kwampalange" na hiyo KY-jelly yake aliyoiacha chooni
 
Mzee umeona jamaa wamekuta yale mafuta pendwa mule ndani[emoji23][emoji23]

Ova
Inaelekea dogo akishakwega bangi kadhaa anawaza wapi pa kupakua kisanvu cha kopo, hilo si tatizo sana bali ujinga wa kutoka vijijini na kushindwa kuelimika kuhusu hygiene yaani hata ku flush vyoo tu wanaona shida. Inajulikana wamekulia kwenye vyoo vya shimo lakini wanajisahau vipi kama wako town, kinyaa sana.
 
Kwa Hyo Sarah alikuwaga anafumiliwa Linda [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Italians huo mchezo wanaupenda sana, ina maana pale channel O iko wazi kama kishimo cha golf.
 
Hahaha

Ova
 
Mzee wa watu mstaarabu sana masikini. Harmonize alivyohamia alikua anajidai sana akipita mtaani anashusha vioo mumuone [emoji23][emoji23][emoji23] akifika kwenye bodaboda anasalimia na kusalimia. Ila watu tulijua tu yeye sio mlipa kodi.
Harmonize anaonekana mchafu chafu ndio maana hata wameacha mauchafu yao vyooni..
 
Mvuta bangi na usafi wapi na wapi mkuu?
 
Kilichonisikitisha n uchafu tyuuh wa pale ktk nyumba. Mmmmh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…