Ni kweli Harmonize anadaiwa Kodi Na Eng. Usiri

Em we na mjomba ako mtudadavulie milioni150 inavyosemekana ankoli wako ndo anadai,kodi ya nyumba ilikuwa sh ngapi na hakulipa kodi kwa mda gani kufikia deni hilo?
 
Ukiwapangisha wasanii wa kibongo nyumba yako,hesabu maumivu
Maana ni kero

Ova
Hujadanganya kuna mwaka nilipangishaga wachezaji wa Simba na walikuwa wanalipiwa na club yao nilikoma,nikajichanganya tena kwa wajeda nilijuta hahahahaha!
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kilainishi kimemkumbusha ujana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena itakua ndo mambo yake, nina wac wac na bibi yangu uwiiiih.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…