GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 4,291
- 5,786
Matunzo ya hizi chanjo kwa kuzingatia muda wake wa matumizi ni kati ya sababu zilizopelekea chanjo za Mordena na J Johnson kukataliwa kwenye nchi moja ya EU... Sitaitaja hapa. Swali lako ni la msingi kabisa ila sidhani kama litajibiwa.... Usanii umeshika hatamu.