Ni kweli Idris na Wema Sepetu wameachana?

Tuli eleza tumbo tupu lile jamaa alijaziwa ushunzi,Ok neeeext.
 
Kuna wakati mwingine huwa namkumbuka sana Baba Mwanaasha, maana mtafaruku kama huu angeshawaita ikulu kuwapatanisha kabla ya valentine day.
Hahahahaaa kale 'kaugomvi' ketu design tukapotezee hivi?
Maana siku hizi unanifurahisha sana.
cc Mgibeon
 
Mi nilijua tu pale hakuna kitu ila nilikuwa nasubiria cku tu zisonge
 
Wanaume bana kama vile hatuna akili eti yaani Wema nae bado anamnyima mtu usingizi, huyu huyu Wema Sepetu? Kila mwanaume akiwa staa anampitia.
Wacha niishie hapa TeamWema wasijekuniita majina ya ajabu ajabu kisa nimesema ukweli
 
Hivi bado kuna watu wanamla peku huyu bi shostito kumbe
 
Kingwendu ana mpunga nw, nasikia alipewa milioni kadhaa auze ushindi kwa ccm so sahivi yupo nje anatumia pesa
Acha mzushia mjomba wangu NGWENDU hawezi fanya huo ujinga...huyo JAFO ana pesa gani ya kununua ubunge?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…