SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,364
- 2,001
Sina budi kucheka kwakweli.... [emoji23] [emoji23]Hii mimba ya huyo binti imezua mambo kwa kweli.
Mara ipo....mara inapotea...hujakaa sawa imerudi tena....umejisahau kidogo unasikia imetoweka tena!
Ni mimba ya kipekee sana hiyo.