Ni kweli Idris na Wema Sepetu wameachana?

Hii mimba ya huyo binti imezua mambo kwa kweli.

Mara ipo....mara inapotea...hujakaa sawa imerudi tena....umejisahau kidogo unasikia imetoweka tena!

Ni mimba ya kipekee sana hiyo.
Sina budi kucheka kwakweli.... [emoji23] [emoji23]
 
Wema hana abadu kabisa, kwenye interview na Diva wa clouds akamwita demu wa zamani wa Idrisa a baggage. Ikabidi idrisa aje juu na kutaka neno hilo liondolewe ili kulinda heshima ya demu wake wa zamani. Kiunyonge Wema aka-withdraw, lakini hata baada ya hapo ukimwangalia Idrisa anaonekana kama vile ali-mind. Ndo mastaa wetu wa Kibyongo walivyo.
 
Watakuwa wanatafuta kick kwa ajili ya tamasha la Valentine aliloliandaa Wema.

Hapa wanavuta attention ya mashabiki tu, na ninadhani hao wanaosambaza hizo taarifa wamelipwa.
Hata kama Kiki ndo ajisingizie ujawepesi kweli na hajawahi walau kuwa na mtoto huyu mwanamke wa ajabu sana.
 
Ww umenena hakuna mkamilifu chini ya jua
 
Mrekebisha tabia huwa anajifanya team wema,leo kakosea badala kupost kwenye fekero account kaiweka kwenye account yake kaumbuka,teh team wema wanaumbuana tu huko....
Mwenyewe nimemshangaa tena amepost two times
 
habari iliyonifikia hivi punde, wema amejifungua watoto mapacha wakike na wakiume. idris na wema ambao kwa sasa wanaitwa baba na mama wawili wameamua kumpa mtoto wao wa kike jina la ZARINA a.k.a zari na wakiume NASIB a.k.a simba. hongera dada wema. tumepata anko wa taifa
 
Hii mimba ya huyo binti imezua mambo kwa kweli.

Mara ipo....mara inapotea...hujakaa sawa imerudi tena....umejisahau kidogo unasikia imetoweka tena!

Ni mimba ya kipekee sana hiyo.
Hahahahahaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…