Ni kweli Idris na Wema Sepetu wameachana?

Ni kweli Idris na Wema Sepetu wameachana?

Acha cha chaaa!!
Jamani Oparation maalumu ya jeshi inahitajika kuvikimboa hivi vitoto.
Ya nini kuogelea kwa mama zao wakati size yao wapo??
Tamaa ya pesa na maisha mteremko.!!
Umemwona wa Shilole??
Aisee ni janga la kitaifa.
Unajua Idriss na Wema wana wa actia.
Leo mtawaona
Mwenzangu nimemuona....Shishi ndo anasema wenye mimba mzae salama, sie bado hakujakucha kwetu (sijui dongo la nani sasa)
Yaani Shishi anapenda dogodogo kuliko vikongwe wenzake.
Halafu yule si yupo sawa na Nuh tu jamani?
Kizazi hiki, sijui kina nini.
Na leo nasubiri movie ianze ya Michirizi na Susan
 
Acha cha chaaa!!
Jamani Oparation maalumu ya jeshi inahitajika kuvikimboa hivi vitoto.
Ya nini kuogelea kwa mama zao wakati size yao wapo??
Tamaa ya pesa na maisha mteremko.!!
Umemwona wa Shilole??
Aisee ni janga la kitaifa.
Unajua Idriss na Wema wana wa actia.
Leo mtawaona
Ha ha ha huyu wa sahivi wa shilole sio serengeti eti ni NGORONGORO
 
Habari ndo hiyo, kakataa ndomu apewe gari na amepewa Harrier....na nasikia mfiraji balaa ndio maana kila ukimuona Dida kajibinua tu makalio, watu wanajiuliza kwanini akatae ndomu?
Au afya yake haieleweki kama mtoto wa Aunt na Iyobo?
Wamemchambia kwenye account yake akamuue mwanae Warda ila sio mtoto wa watu, dogo lenyewe la 93 kutaka kuona papa zilizoungua na mkorogo za mama zake akina Dida.
Mpo Nifah My hubby Ms.Lincoln brenda18 warumi?....
Khaaa,hakyanani bado nimetoa macho..hivi dida nini lakini mbona anamaliza watoto wa wenzie...
Mtoto wa 93 na kiajuza kile,jamaniii mbona nimeumia kama mie ndio mama wa huyo kijana...
 
Mwenzangu nimemuona....Shishi ndo anasema wenye mimba mzae salama, sie bado hakujakucha kwetu (sijui dongo la nani sasa)
Yaani Shishi anapenda dogodogo kuliko vikongwe wenzake.
Halafu yule si yupo sawa na Nuh tu jamani?
Kizazi hiki, sijui kina nini.
Na leo nasubiri movie ianze ya Michirizi na Susan
Eti Eid lissa naye ana flow na midundo ya movie kutompost bibie kwa sababu za kibiashara!!
 
Screenshot_2016-02-14-15-58-22.png
Screenshot_2016-02-14-15-57-41.png
Hahahaa sema bana, ukichambwa Insta ntakutetea teh....
 
Nzuri sana wote!


http://s07.jamiiforums.com/mini/uyE8/bg_000000/txt_000000/border_000000/flags_0/
 
Khaaa,hakyanani bado nimetoa macho..hivi dida nini lakini mbona anamaliza watoto wa wenzie...
Mtoto wa 93 na kiajuza kile,jamaniii mbona nimeumia kama mie ndio mama wa huyo kijana...
Ha ha ha huyu wa sahivi wa shilole sio serengeti eti ni NGORONGORO
Mwenzangu nimemuona....Shishi ndo anasema wenye mimba mzae salama, sie bado hakujakucha kwetu (sijui dongo la nani sasa)
Yaani Shishi anapenda dogodogo kuliko vikongwe wenzake.
Halafu yule si yupo sawa na Nuh tu jamani?
Kizazi hiki, sijui kina nini.
Na leo nasubiri movie ianze ya Michirizi na Susan
Teenagers 17 -19 na age ya 20-29 huwa wanasimamia show sana kwa sababu wanakuwa na ululu wa ndizi mwingi,akimkamata Demu aliyozoea kugongwa na mijitu ya >35 yenye colestol mwili mzima basi Demu lazima adate,ndio maana shishi yeye na vingorongoro tu.
 
Teenagers 17 -19 na age ya 20-29 huwa wanasimamia show sana kwa sababu wanakuwa na ululu wa ndizi mwingi,akimkamata Demu aliyozoea kugongwa na mijitu ya >35 yenye colestol mwili mzima basi Demu lazima adate,ndio maana shishi yeye na vingorongoro tu.
Haka ka sahivi kamezidi jamani ni kadogo duh
 
Teenagers 17 -19 na age ya 20-29 huwa wanasimamia show sana kwa sababu wanakuwa na ululu wa ndizi mwingi,akimkamata Demu aliyozoea kugongwa na mijitu ya >35 yenye colestol mwili mzima basi Demu lazima adate,ndio maana shishi yeye na vingorongoro tu.
Hahahaa, hao madogo wanaacha age mate wao wanakimbilia screpa za nini....shishi yeye ni mwendo wa kulea tu ana nyota ya umama..
 
Habari ndo hiyo, kakataa ndomu apewe gari na amepewa Harrier....na nasikia mfiraji balaa ndio maana kila ukimuona Dida kajibinua tu makalio, watu wanajiuliza kwanini akatae ndomu?
Au afya yake haieleweki kama mtoto wa Aunt na Iyobo?
Wamemchambia kwenye account yake akamuue mwanae Warda ila sio mtoto wa watu, dogo lenyewe la 93 kutaka kuona papa zilizoungua na mkorogo za mama zake akina Dida.
Mpo Nifah My hubby Ms.Lincoln brenda18 warumi?....
Uwiiiiiiiii jamani mbea mimi niliyetukuka niko gonjwa kitandani malaria imenitandika vibaya sana.
Ndio napitia huu ubuyu,hebu ngoja nikae vizuri tupeane ubuyu vizuri maana huyu Dida kazidi.
Sura yenyewe sio sura sio wazimu basi tafrani tupu,habari zake ninazo.
Niombeeni tu mbea mwenzenu nikae sawa.
warumi Evelyn Salt Ms.Lincoln GENTAMYCINE Bitoz brenda18
My hubby n.w
 
Back
Top Bottom