Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Muna ana mimba? Kaachana na mme wake?Hivi petit si kampa mimba yule mtu mfupi ka kikombe cha kahawa muna love hapo hapo anamtafuna na mami wake,khaaa nipo kushangaa bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muna ana mimba? Kaachana na mme wake?Hivi petit si kampa mimba yule mtu mfupi ka kikombe cha kahawa muna love hapo hapo anamtafuna na mami wake,khaaa nipo kushangaa bado
Habari ndio hio kalala kaachwa na kichambo juu kisa alikopeshwa hela maskini kashindwa zirudisha,kwani hujaona siku hizi muna anamuita wema ma mkwe.... Alipo ana mimba ya petitMuna ana mimba? Kaachana na mme wake?
Inasemekana wema kafumaniwa akila maraha na petitman wakuache, ambae huwa anasema mtoto wake mmmh sasa wema na petit si mama na mwana mbona wanakulana kama kuku
Idris nae amemind nini wakati ye mwenyewe alimkwapua rafiki ake luismunana
Ubuyu ni mwingi hadi nachoka
Nifah warumi My hubby danya @m.s Lincoln Madame B brenda18
View attachment 323042
Nshaona mmh makubwa na ile sura yake nzito, yani make up plus filters ila sura ipo vile sijui live yukoje tehHabari ndio hio kalala kaachwa na kichambo juu kisa alikopeshwa hela maskini kashindwa zirudisha,kwani hujaona siku hizi muna anamuita wema ma mkwe.... Alipo ana mimba ya petit
Nlikua sijui kama ana mimba duuuhNdio mie mwenyewe nimeona.
Lakini Muna si katiwa mimba na mnusa chupi za Wema Petit, asa imekuwaje kaka na dada walane?
Naona ile sultan wameimodify heheheKwanini wanamuita Susan ha ha ha ha ha
Ana mimba bibi weeee.Nlikua sijui kama ana mimba duuuh
Ndo huyu dida anakula nae bata mama Malaika beach mara wapi ila sura haoneshwi, ndio huyo mvulana? MmmhAna mimba bibi weeee.
Nasikia ya miezi 2.
Maskini Esma wa watuuu.
Halafu ubuyu huu mpya uliupata?
View attachment 323128
View attachment 323129
Hapana kwa hili naona kafanya vzr, unajua mficha maradhi kifo humuumbua, na mashabiki maandazi ndo wanaomponza wema, kumshangilia hata alipokosea. Ukimpenda mtu kidhati usiogope kumwambia ukweli hata kama ni mchungu kiasi gani.Huyu mrekebisha ni mnafiki sana,wacha wamshambulie....
Habari ndo hiyo, kakataa ndomu apewe gari na amepewa Harrier....na nasikia mfiraji balaa ndio maana kila ukimuona Dida kajibinua tu makalio, watu wanajiuliza kwanini akatae ndomu?Ndo huyu dida anakula nae bata mama Malaika beach mara wapi ila sura haoneshwi, ndio huyo mvulana? Mmmh
Weeee ina maana huyu ndio kamuengage make nilisikia anataka kuolewaHabari ndo hiyo, kakataa ndomu apewe gari na amepewa Harrier....na nasikia mfiraji balaa ndio maana kila ukimuona Dida kajibinua tu makalio, watu wanajiuliza kwanini akatae ndomu?
Au afya yake haieleweki kama mtoto wa Aunt na Iyobo?
Wamemchambia kwenye account yake akamuue mwanae Warda ila sio mtoto wa watu, dogo lenyewe la 93 kutaka kuona papa zilizoungua na mkorogo za mama zake akina Dida.
Mpo Nifah My hubby Ms.Lincoln brenda18 warumi?....
....na bado nimekolea sihesabu hizo hasara! Nikupe nini uridhike ni mkong'oto au maradhi, sifanyi malipizi ila jifunze adabu mpenzi"Najikuta tu nawasikikiza jamaa zangu wawili mandojo na domo kaya na wimbo wao "nikupe nini" mstari unaonikuna ni pale wanapoimba
"Mwezi wa kumi wa kumi na moja huo kwenye kona wa kumi na mbili umetinga mwanangu wadai huna mimba si nikastuka nikikuwa nahudumia tambala"
Duuu,sijaipata iyo ila muna nae gari limeanza kuwa ka!(teja) no wonder wapendane na bibi bomba they are in the same hell dealing with the same devil.Habari ndio hio kalala kaachwa na kichambo juu kisa alikopeshwa hela maskini kashindwa zirudisha,kwani hujaona siku hizi muna anamuita wema ma mkwe.... Alipo ana mimba ya petit
Pete na kila kitu kanunua mwenyewe.....asitudanganye hapa.Weeee ina maana huyu ndio kamuengage make nilisikia anataka kuolewa
Huyu sio serengeti, mbona mkubwa tuPete na kila kitu kanunua mwenyewe.....asitudanganye hapa.
Hebu fananisha na picha hii
Anafanana na huyo Serengetu boy wanayesema?
Maana raha ya umbea, ushahidi bibi
View attachment 323140
Acha cha chaaa!!Habari ndo hiyo, kakataa ndomu apewe gari na amepewa Harrier....na nasikia mfiraji balaa ndio maana kila ukimuona Dida kajibinua tu makalio, watu wanajiuliza kwanini akatae ndomu?
Au afya yake haieleweki kama mtoto wa Aunt na Iyobo?
Wamemchambia kwenye account yake akamuue mwanae Warda ila sio mtoto wa watu, dogo lenyewe la 93 kutaka kuona papa zilizoungua na mkorogo za mama zake akina Dida.
Mpo Nifah My hubby Ms.Lincoln brenda18 warumi?....
Magufuli aanze na hawa wauza Ngada wanatumalizia ndugu zetu.Duuu,sijaipata iyo ila muna nae gari limeanza kuwa ka!(teja) no wonder wapendane na bibi bomba they are in the same hell dealing with the same devil.
Ndo mana nasema raha ya umbea ushahidi, maana kila nikikaa picha haliendi, ndo nazidi kuwashwa mbea mimi.Huyu sio serengeti, mbona mkubwa tu