Hao wasabato na hao waroma wote wapumbavu tu, kwa dunia hii ya leo yenye uhuru na haki ya kuabudu unachokitaka watamlazimisha nani afuate sheria fulani?
Sio wafuasi wa ukatolic tu hata wasio amini hiyo imani hakuna anayeweza kulazimishwa kuamini jambo analotaka mwengine, bahati mbaya wafia dini ni vilaza hawajiulizi haya mambo, dunia ya leo si ile ya miaka ya mababu walioendeshwa kifala kulazimishwa kuamini jambo fulani, leo hii hata zitumike sheria ngumu binadamu bado hawatozifuata.
Acheni kuamini uzushi, hao wakatolic na hao mnaowapa airtime za kijinga hawana hiyo nguvu ya kuamrisha watu wafanye nini, labda kwa waumini wao.
Hata hiyo sunday's law sijui takataka gani hawajaanza kuifanyia kazi leo wala jana bali muda mrefu wamekuwa wakiitumia lakini mambo yao yalibuma, walishajaribu muda mrefu kutaka kuicontrol dunia kupitia sheria zao za kipuuzi za kidini na kisiasa lkn hakuna lililofanikiwa,
kama kipindi cha ujinga na upumbavu wa miaka ya nyuma walishindwa kuitekeleza hiyo NEW WORLD ORDER basi kwa kizazi hiki cha ustaarabu, haki na uhuru hakuna watakaloliweza, acheni uoga na hayo mafundisho ya wachungaji wenu wanaowatishatisha, dunia haina mwisho, haitoisha leo wala kesho, hata hao mnaowaogopa kuwa wataitawala dunia bado hawajafikia nguvu hizo, ndio kwanza wanazidi kupoteza ushawishi katika jamii, ndiomaana wamebaki kueneza vitisho na propaganda kupitia vilaza wao ambao baadhi ni hao manabii wenu, wachungaji wenu na hata viongozi wakuu kutoka kanisa la sabato wako chini ya hao hao waliotunga hizi dini.