Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Unajibu kwa hisia au maandikoWasabato ndio waliomuua Yesu
Wakasema anavunja sabato
Wakasema anafanya kazi siku ya sabato
Wakamuua ijumaa halafu wakasema tutapumzika jumamosi bila Yesu
Kama Yesu alifufuka jumapili
Basi siku hiyo inafaa kukumbukwa zaidi maana ndiyo siku ya sabato(Yesu) kutupumzisha
Kwahiyo kama wasabato walimuua Yesu nadhani wao ndio wataleta Saturday law kutuua waabudu jpili tuliosalia(japokuwa Mungu tunamuabudu rohoni kila siku)
Malaya ndio wanajua mambo mkuu...wanakuchanganyia ladhaIpo nje ya mada kidogo
Kuna padre mmoja alishikwa na kasidemu kimoja hivi kilikua kinamfanyia usafi na kumpikia na Mambo mengine alikua ni mzungu Mzee
Demu alijenga bar, nyumba na akanunua Hadi gari haieleweki yule demu alimuwekea nini yule padre au alikua anampa Nini
Ni kwamba yule demu alikua akikohoa anashida na Pesa au sometimes alikua anajifanya anaumwa amelazwa padre anapigiwa simu Lazima atatuma Pesa t sijui yule manzi alimfanyia Nini yule padre na manzi mwenyewe alikua malaya wa kutupwa
Kwakuwa umesema uliambiwa na rafiki yako Msabato yatosha kuishia hapo,siongezi neno!!!Madai ya rafikiyangu msabato kuwa Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya Fedha kutekeleza sheria ya jumapili yana ukweli? Wadau hamjamboni nyote?
Ni Madai ya rafiki yangu mmoja wa kisabato kuhusu maandalizi yanayofanywa na kanisa Katoliki kuelekea utekelezaji wa sheria ya jumapili - Sunday Law
Anadai kwamba Kanisa hilo limepunguza misaada kwa makanisa yake mbalimbali duniani. Kwamba huo ni mpango mkakati kuweka akiba ya kutosha. Kwamba linaweka akiba siyo kwakuwa limeishiwa Fedha ila ni mpango mkakati kuelekea utekelezaji wa amri ya jumapili
Kwamba Fedha husika pamoja na rasilimali nyinginezo zitatumika kuwashughulikia kikamilifu watakaopinga amri ya kuabudu jumapili yaani Sunday Law. Kwamba walengwa wakuu wa sheria hiyo ya Jumapili itakayotungwa na Catholic Kwa kishirikina na Marekani na Umoja wa Mataifa ni Wasabato ambao wanaabudu siku ya jumamosi.
Nimeshindwa kuelewa, kuamini na nimeshangaa sana huku nikikosa hata swali la kumuuliza.
Kwamba baada ya mateso hayo kupitia ndiyo Yesu Kristo atarejea na kuwachukua kwenda mbinguni.
Naombeni maoni yenu wasomi wa theolojia.
Karibuni.
Sio Kweli!!!Madai ya rafikiyangu msabato kuwa Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya Fedha kutekeleza sheria ya jumapili yana ukweli? Wadau hamjamboni nyote?
Ni Madai ya rafiki yangu mmoja wa kisabato kuhusu maandalizi yanayofanywa na kanisa Katoliki kuelekea utekelezaji wa sheria ya jumapili - Sunday Law
Anadai kwamba Kanisa hilo limepunguza misaada kwa makanisa yake mbalimbali duniani. Kwamba huo ni mpango mkakati kuweka akiba ya kutosha. Kwamba linaweka akiba siyo kwakuwa limeishiwa Fedha ila ni mpango mkakati kuelekea utekelezaji wa amri ya jumapili
Kwamba Fedha husika pamoja na rasilimali nyinginezo zitatumika kuwashughulikia kikamilifu watakaopinga amri ya kuabudu jumapili yaani Sunday Law. Kwamba walengwa wakuu wa sheria hiyo ya Jumapili itakayotungwa na Catholic Kwa kishirikina na Marekani na Umoja wa Mataifa ni Wasabato ambao wanaabudu siku ya jumamosi.
Nimeshindwa kuelewa, kuamini na nimeshangaa sana huku nikikosa hata swali la kumuuliza.
Kwamba baada ya mateso hayo kupitia ndiyo Yesu Kristo atarejea na kuwachukua kwenda mbinguni.
Naombeni maoni yenu wasomi wa theolojia.
Karibuni.
Hakuna Mungu.Hivi bifu la SDA na RC lilianzaje? SDA wenye waumini 20m wanawezaje kupambana na RC yenye waumini 1.4b? Dunia ina watu 7b ambao ni 7000m. Ina maana Mungu atachoma viumbe wake 6980m kisa hawaabudi jumamosi kwenye makanisa ya SDA? Kama Mungu atachujua hayo maamuzi ina maana Kiranga atakuwa yuko sahihi.
Haya mawazo yako ni akili za binadamu sio agizo la MunguHuyo muongo. Si lazima tuwe na siku moja special ya kusali. Unaweza kufanya ibadan siku yoyote au kila siku.
Huwezi kwenda mbinguni kwa sababu kuu moja: USIPOMKIRI, KUMWAMINI NA KUMPOKEA BWANA YESU KRISTO KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO.Haya mawazo yako ni akili za binadamu sio agizo la Mungu
Mungu amewaagiza waadamu wote waabudu na wapumzike siku ya 7 akaliita sabato
Kati ya amri 10 za Mungu sabato ni amri ya 4 soma kutoka 20
Hivyo hauwezi kwenda mbjnguni bila kuamini sheria 10 za Mungu ikiwemo na Sabato hivyo ni hitaji la agizo la Mungu kila mwanadmu awe pia msabato
Naona umefika mkuuHaya mawazo yako ni akili za binadamu sio agizo la Mungu
Mungu amewaagiza waadamu wote waabudu na wapumzike siku ya 7 akaliita sabato
Kati ya amri 10 za Mungu sabato ni amri ya 4 soma kutoka 20
Hivyo hauwezi kwenda mbjnguni bila kuamini sheria 10 za Mungu ikiwemo na Sabato hivyo ni hitaji la agizo la Mungu kila mwanadmu awe pia msabato
Ndio mama wa makanisa yote Mkuu (i.e mama wa makahaba)Wasabato adui yao mkubwa sio Shetani bali ni Wakatoliki😆😆.Sijawahi kuona Wasabato wanashambulia mafundisho ya madhehebu mengine kwamfano Lutheran,Anglican,Assemblies of God,Moravian wao kila siku ni kuwapinga Wakatoliki tu🤣🤣
Unajibu kwa hisia au maandiko
KabsaNdio Mafarisayo ndugu....
🤪Afya ya akili is real!