Ni kweli Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya fedha kutekeleza Sheria ya Jumapili?

Hawa watu kama waliwahi fika Airport wakadai wasafiri Bure tena bila viambatanisho unahisi watakuwa na akili vizuri, Hutu tujamaa nahisi Catholic waga ni adui wao namba moja kuliko hata Shetani
 
Hawa watu kama waliwahi fika Airport wakadai wasafiri Bure tena bila viambatanisho unahisi watakuwa na akili vizuri, Hutu tujamaa nahisi Catholic waga ni adui wao namba moja kuliko hata Shetani
Bila shaka post hii umeiandika ukiwa na hasira Kali sana dhidi ya wasabato.
 
Tanzania ndiyo Nchi Mungu ameichagua kupinga UOVU huo na kusimamisha lile Kanisa la kwanza.

Mkristo unayejitambua,jiandae kurudi kuabudu sawa sawa na Kanisa la awali lilivyokuwa.

Wasabato pia sio wakristo,warudi katika msingi wa BIBLIA tuungane kuwepo na Kanisa Moja.

Tusubiri.
 
Roman catholic, haijawah kufanya upu uzi uu wala kujalibu, lile kanisa ni zaidi ya cheo cha rahisi, sisemi mengi ila katoliki baba lao, mama lao.
 
afu katoliki haijawahi kuhangaika na hao sda hata mara moja wala kuwaza kama wanatukanwa.
 
Yesu atarudi mnamo amri ya jumapili itakapotangazwa na kanisa jumapili Upapa

Unajua kwa nini makanisa ya jumapili wanaeka ruva kenye madirisha?
Kwenye makanisa ya Roman Catholic ndizo zitakuwa magereza ya kufungia na kuwatatesa watakatifu w mungu ambao watakataa kutii amri ya papa ya kupokea chapa ya mnyama au kuabudu jumapili.

Wasabato ndio kundi la waaminifu wa zmungu wanaolengwa na papa ila kwa kuwa Mungu anataka awaokoe wengi ndio maana wanaotubu na kujiungs na wasabato wataokopewa
 
Yesu atarudi mnamo amri ya jumapili itakapotangazwa na kanisa jumapili Upapa

Unajua kwa nini makanisa ya jumapili wanaeka ruva kenye madirisha?
Kwenye makanisa ya Roman Catholic ndizo zitakuwa magereza ya kufungia na kuwatatesa watakatifu w mungu ambao watakataa kutii amri ya papa ya kupokea chapa ya mnyama au kuabudu jumapili.

Wasabato ndio kundi la waaminifu wa zmungu wanaolengwa na papa ila kwa kuwa Mungu anataka awaokoe wengi ndio maana wanaotubu na kujiungs na wasabato wataokopewa
 
Hii umeitoa wapi Mkuu!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…