Ni kweli kila mtoto anayekupa hela anakuwa ni Malaika kutoka Mbinguni?

Ni kweli kila mtoto anayekupa hela anakuwa ni Malaika kutoka Mbinguni?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwahiyo kumbe hata Mimi GENTAMYCINE nikienda Kuwatembelea Marafiki zangu wakubwa hapa JamiiForums akina Mtani wangu Arovera, mrangi, Bila bila, SAGAI GALGANO. rodrick alexander na Mjeda wangu wa 521 Lugalo King Kong III na Watoto wao wakija kunipa Hela basi moja kwa moja natakiwa Kujisifu na Kutamba kuwa hawa Watoto wao ni Malaika na wameshushwa muda huo huo kutoka Mbinguni kwake Mwenyezi Mungu / Allah?

Yaani GENTAMYCINE nilivyo na Dhambi Nyingi (za Ufisadi na za Ununio) japo najifanya Mwema leo Malaika wanitembelee?
 
Kwahiyo kumbe hata Mimi GENTAMYCINE nikienda Kuwatembelea Marafiki zangu wakubwa hapa JamiiForums akina Mtani wangu Arovera, mrangi, Bila bila, SAGAI GALGANO. rodrick alexander na Mjeda wangu wa 521 Lugalo King Kong III na Watoto wao wakija kunipa Hela basi moja kwa moja natakiwa Kujisifu na Kutamba kuwa hawa Watoto wao ni Malaika na wameshushwa muda huo huo kutoka Mbinguni kwake Mwenyezi Mungu / Allah?

Yaani GENTAMYCINE nilivyo na Dhambi Nyingi (za Ufisadi na za Ununio) japo najifanya Mwema leo Malaika wanitembelee?
Hamna kitu kama hicho huko wanajifariji tu kamanda

Ova
 
Back
Top Bottom