sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Yaani kama mtoto amezaliwa bila mama kufanya hivyo vitu anakuwa na akili lakini kama mama yake angefanya hivyo wakati wa uja uzito basi uwezo wa mtoto huyo kiakili ungekuwa mara mbili ama mara tatu ya uwezo wake alionao
Ni utamaduni ambao upo huko Israel mwanamke anapokuwa na uja uzito anaanza kujifunza vitu vipya kwenye vitabu na kucheza michezo ya kutumia akili ikiwemo kufanya hesabu mpya zinazohitaji awe mbunifu kupata jibu ama kucheza michezo kama chess, soduku, n.k.
Hapa nazungumzia mtoto aje kuwa anaweza kujifunza haraka, hata darasani, hata akiwa namba za kati ni sawa tu ilimradi anaweza kujifunza hara kuliko yule anaeshika nafasi ya kwanza kila muda anasoma kwasababu uwezo wake wa kujifunza haraka ni mdogo hivyo inabidi atumie muda mwingi sana kurudia rudia.
Kuwa na akili za uvumbuzi na namna ya kukabiliana na matatizo, n.k.
Ni utamaduni ambao upo huko Israel mwanamke anapokuwa na uja uzito anaanza kujifunza vitu vipya kwenye vitabu na kucheza michezo ya kutumia akili ikiwemo kufanya hesabu mpya zinazohitaji awe mbunifu kupata jibu ama kucheza michezo kama chess, soduku, n.k.
Hapa nazungumzia mtoto aje kuwa anaweza kujifunza haraka, hata darasani, hata akiwa namba za kati ni sawa tu ilimradi anaweza kujifunza hara kuliko yule anaeshika nafasi ya kwanza kila muda anasoma kwasababu uwezo wake wa kujifunza haraka ni mdogo hivyo inabidi atumie muda mwingi sana kurudia rudia.
Kuwa na akili za uvumbuzi na namna ya kukabiliana na matatizo, n.k.