Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaskiliza hiyo clip, lakini kwa nchi kama hiyo (sijaitaja jina) iliyo jaa mazuzu na raia wenye mtero...... hata akimiliki 40 billions naona kama ndogo, kwa muda alio kaa alitakiwa kama ndogo saaana awe na walau kuanzia 10 trillionsNimekutana na hii clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei.
hata kama angekuwa niyeye angefanyaje sasa...😀Inawezekana ....kwa mtu mwenye maamuzi ya kila kitu kwanini asijipakulie minyama!?
Ni video clip mkuu.Sijaskikiliza hiyo clip, lakini kwa nchi kama hii iliyo jaa mazuzu na raia wenye mtero...... hata akimiliki 40 billions naona kama ndogo, kwa muda alio kaa alitakiwa kama ndogo saaana awe na walau kuanzia 10 trillions
😂😂hata kama angekuwa niyeye angefanyaje sasa...😀
AstagafillurahKwa nafasi yake hiyo ni pesa ndogo sana hata kama kaiba mungu atamsamehe.2025 na Daktari Samia.