Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Hata kuandika kiswahili hujui, unatoa wapi guts za ku doubt chanzoNgoja ukue mdogo wetu harafu ukichagua chanzo chako Cha habari basi komaa nao ata kama matango pori we kula tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kuandika kiswahili hujui, unatoa wapi guts za ku doubt chanzoNgoja ukue mdogo wetu harafu ukichagua chanzo chako Cha habari basi komaa nao ata kama matango pori we kula tu
Hakuna ufanano wa namna hiyo bro Mushi. Halafu jiulize ni nani anaweza piga picha mpaka vyumbani, majikoni, sebuleni kwa nyumba ya Rais? Kwa ruksa ya nani?Duh! Siyo kwamba zimefanana?
Na kama siyo kweli hii ni defamation?
Lakini kuna reshuffling zimefanyika. Maybe kuna taarifa zimetolewa bila idhini nk.Hakuna ufanano qa namna hiyo bro Mushi. Halafu jiulize ni nani anaweza piga picha mpaka vyumbani, majikoni, sebuleni kwa nyumba ya Rais? Kwa ruksa ya nani?
Ni fabrications tu za kuokoteza picha kwa ajili ya kumchafua Rais
Alichofanya ni "cyber crime". Ameunganisha vipisi vya habari mbalimbali kisha akamchanganya na Rais Samia. Halafu akachukua magari mbalimbali akayaingiza kwenye clip ili kuonyesha kuwa ni ya Rais Samia.Lakini kuna reshuffling zimefanyika. Maybe kuna taarifa zimetolewa bila idhini nk.
Huyo mwingereza alikuwa anaongea kwa kujiamini sana.
Kama si kweli wamshtaki kwa defamation.
Sawa mwalimu wa kiswahili nikijua kuandika kiswahili inanisaidia Nini huku kasama zambiaHata kuandika kiswahili hujui, unatoa wapi guts za ku doubt chanzo
Sasa Bilioni 40 ndio utajiri mkubwa huo? Acha upuuziNimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei.
Cyber crime?Alichofanya ni "cyber crime". Ameunganisha vipisi vya habari mbalimbali kisha akamchanganya na Rais Samia. Halafu akachukua magari mbalimbali akayaingiza kwenye clip ili kuonyesha kuwa ni ya Rais Samia.
Naweza kukuletea website alizochota na kutengeneza UWONGO wake kama unataka
Sina utaalamu wa sheria lakini yawezekana yote mawili yakawa ni makosa kwa wakati mmoja.Cyber crime?
Not defemation?
jmushi1 nimekwisha kuonyesha kwenye post yangu namba 34 nyuma kuwa hiyo clip ni FABRICATED na wahuni wa mtandao na nimekupa ushahidi wa picha.Inategemea. Kwa wengi tu ni mkubwa.
Kwani kama taifa hatupokei misaada ya kiasi hicho?
Nijibu tena na wakati mimi ndo mwenye swali?jmushi1 nimekwisha kuonyesha kwenye post yangu namba 34 nyuma kuwa hiyo clip ni FABRICATED na wahuni wa mtandao na nimekupa ushahidi wa picha.
Kwa kuwa wewe ndiye mwenye hii THREAD nashauri uwajibu watu kuwa huu ni UWONGO kuliko kuendelea kujadili "UTAJIRI WA SAMIA" ambao haupo
Labda Dulla ila kwa Yeye ukiniambia ana Utajiri wa kuanzia Trillioni naweza Kukuelewa kwani hii Bilioni uliyoitaja hapa kuna Mawaziri wake kama Wawili hivi wanazo mara mbili yake halafu Wote wanautaka Urais wa Tanzania kama ambavyo Simba Sports Club yangu nayo inavyoutafuta kwa Tochi Ubingwa wa Ligi Kuu wa NBC kwa mwaka huu wa Tatu sasa.Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei.
Itakusaidia kujua kiswahiliSawa mwalimu wa kiswahili nikijua kuandika kiswahili inanisaidia Nini huku kasama zambia
kama ni hizo mbona ndogo sana, kwa kipindi chote amekaa hiki na allegation alizotoa lisu kuhusu kijana wake?Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei.