Ni kweli kuhusu utajiri wa Rais?

Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei.
Tumia akili yako.
Kama kweli basi watu wa huko alikojenga wangesha eleza.
Tundu lissuna wengine wanhe sharopoka.
Hiyo video siyo ya leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…