Mstoiki JF-Expert Member Joined Oct 9, 2020 Posts 4,365 Reaction score 8,384 Jun 19, 2024 #61 Unachoshangaa nini hapo?
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,246 Reaction score 123,145 Jun 19, 2024 #62 jmushi1 said: Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei. Click to expand... Kama ni kweli, mbona kidogo sana hizo?
jmushi1 said: Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei. Click to expand... Kama ni kweli, mbona kidogo sana hizo?
A amanij JF-Expert Member Joined Apr 13, 2015 Posts 408 Reaction score 220 Jun 19, 2024 #63 jmushi1 said: Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei. Click to expand... Tumia akili yako. Kama kweli basi watu wa huko alikojenga wangesha eleza. Tundu lissuna wengine wanhe sharopoka. Hiyo video siyo ya leo.
jmushi1 said: Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei. Click to expand... Tumia akili yako. Kama kweli basi watu wa huko alikojenga wangesha eleza. Tundu lissuna wengine wanhe sharopoka. Hiyo video siyo ya leo.
S Steven Joel Ntamusano JF-Expert Member Joined Jun 17, 2023 Posts 5,203 Reaction score 3,913 Jun 20, 2024 #64 kmbwembwe said: Ubaguzi na chuki gani? Kwamba ni sahihi au ni zamu yake kuiba? Click to expand... WeKa ushahidi wa wizi wake sio kutegemea maongezi ya mitaani.
kmbwembwe said: Ubaguzi na chuki gani? Kwamba ni sahihi au ni zamu yake kuiba? Click to expand... WeKa ushahidi wa wizi wake sio kutegemea maongezi ya mitaani.