Ni kweli kujihusisha na ngono kiholela hushusha mwangaza wa maendeleo yako au ni myth?

Ni kweli kujihusisha na ngono kiholela hushusha mwangaza wa maendeleo yako au ni myth?

Inaweza kuwa kweli NAmi nasikia
Lakin kwenye mazingira ya kawaida ukiachia mbali ngono Kuna mtu aliwahi kuniambia kitu Cha kunishangaza
 
Hapa siongelei financially.

Naongelea katika upande usionekane katika macho ya nyama.

Namaanisha energy, namaanisha kiroho.

Nimesikia hapa na pale katika mada tofauti kuhusu jambo hili huku ikisemwa kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuathirika kiroho or ki-energy pale unafanya sex na mwanamke /mwanaume ambae anakumbwa na msongo wa bad energies fulani.

Yani mna share nae energies zenu kupelekea kama unae lala nae akiwa muathirika wa mikosi/gundu sana inakufanya iweze ku-affect the whole experience ya nishati yako.

So unakuta hata maendeleo yako ya uchumi, mahusiano au aura yako vinashuka sana.

Tusaidieane wajuvi wa mambo.
Acha uoga...nyandua tu maisha utayakuta peponi
 
Ni kweli kabisa juzi kati nimekula mbususu sijui ina gundu.

Leo nimekula loss ya 200k kazini kwangu shenz.

Hata ufanisi wa kazini umepungua
 
Gundu, mikosi is not sexually transmitted.

Ifike sehemu muone aibu kuamini amini vitu vya kijinga.
Ni kweli not sexualy transimitted , but sex ni lango, au hufungua milango na kuruhusu energies kuingia au kutoka

Kama ambae unashiriki nae ana bad energy , maybe huto ona impact muda huo ila utaona gafla mambo uliyo yazoea hayawezekan au yanakuwa magumu kutekelezeka

Ni spiritual zaidi
 
Wanasema Kuna wanawake wanakua na rizik kwenye maisha ya mwanaume na Kuna wengine ni mikosi Hilo pia nimelisikia
Kuna Ke ukikutana nao leo jumatano, wiki yote hii unapata pesa na michongo tu. Kuna Ke ni mikosi, kaumwa yule, simu za matatizo haziishi the whole week.
 
Yes IPO hivi

Sex au ngono IPO kiroho zaidi kuliko hata kimwili.

Kwa upande wa mwanaume inaweza kuleta madhara hasi au madhara chanya na kwa mwanamke vile vile.

Wapo baadhi ya wanawake wana nishati (Energy) zipo juu hao ukilala nao Kama ulikuwa chini waweza kuinuka

Pia na wapo wanawake ambao nishati zao zipo chini ukilala nao unaweza kushuka chini zaidi.

Je utamjuaje ambaye ana negative energy na mwenye positive energy .

Jaribu kuwa unasoma Aura zao once you meet with them.

Na kitaalamu sex au ngono ukiachana na madhara ya kiroho unashauriwa usiendekeze Sana .

Maana ukifanya Sana Ngono kujichua jaribu hata kujitazama katika kioo utaona jinsi unavyopoteza Nuru .
 
Ni kweli not sexualy transimitted , but sex ni lango, au hufungua milango na kuruhusu energies kuingia au kutoka

Kama ambae unashiriki nae ana bad energy , maybe huto ona impact muda huo ila utaona gafla mambo uliyo yazoea hayawezekan au yanakuwa magumu kutekelezeka

Ni spiritual zaidi
Anakuwa na bad energy?!

Hizo energy zina KiloJoules ngapi?
Hivi mnafundishwa wapi hizi vitu?

Nani alizipiga hizo kilojoules za energy zinazomuingia mtu akifanya ngono?
 
Kuendekeza ngono kutakupoteza kimaisha kwa sababu zifuatazo.
1. Ngono inachosha, kuendekeza ngono kutakufanya uchoke muda mwingi na hivyo kushindwa kufanya au kutimiza majukumu ya kimaendeleo. Kwa mfano kutega kazi kwa visingizio vya hapa na pale. Kushindwa kufanya side hussles etc. Ilitokea redanducy kazi utakuwa wa kwanza kwa sababu huwezi ku deliver kama unaendekeza ngono.

Lakini pia ni rahisi kupata matukio ya uzembe kazini na hivyo kusababisha kupoteza ajira. Kupata hasara kwenye biashara n.k. halafu utasingizia ni gundu.

2. Ngono inahitaji muda. Kuanzia kufuatilia wanawake hadi kwenda nao kufanya usinzi. Ukietengeza ngono utatumia muda mwingi kwenye mikakati ya ngono kuliko kufanya kazi. Hivyokukurudisha nyuma kimaendeleo. Pia sababu ambazo nimezitaja hapo namba 1 zitahusika

3. Ngono hutumia hela. Kuanzia kuguatilia mwanamke hadi kulala naye ni hela inatumika. Hivyo utajikuta hela nyingi unazitumia kwa wanawake kuliko maendeleo.

Kwa hizo sababu kuendekeza ngono ni adui wa maendeleo ya mwanaume.
 
Ngono ni mbaya sana natamani niache lakini nashindwa. MIHOGO NI MITAMU MNO 😋😋😋

Hatari ya ngono ni zaidi ya kuvaa mabomu ya kujitoa muhanga, utajizolea matakataka ya aina zote. Ni COCKTAIL ya mauchafu, yaani gundu, mikosi, laana, giza, mashetani nk.

Mnapokutana mnabadilishana nguvu za kiroho, kila mmoja anabeba vya mwenzake, hata mashetani yanahama kutoka pande zote.

Tena wale wenye MIHEMKO MIKALI ndio wabaya sana maana wanahamisha uchafu kisawasawa, unakuta majitu yanabomoana kama MAJEHU, wanatifuana haswaaaa, matokeo yake ni GUNDU PRO-MAX.

THE MORE THE MTIFUANO, THE MORE THE DIRT IS TRANSFERRED BETWEEN YOUR AURIC FIELDS.

Bora uwe na mtu mmoja au uache kabisa kutombana maana hata huyo mmoja kuna wakati anakuwa na mauchafu pia.

Cc: Lamomy Labella realMamy Kalpana Extrovert Bolotoba Intelligent businessman secretarybird mshamba_hachekwi Kijana masikini Dogoli kinyamkela Poor Brain Mbaga Jr Tlaatlaah
 
Ngono ni mbaya sana natamani niache lakini nashindwa. MIHOGO NI MITAMU MNO 😋😋😋

Hatari ya ngono ni zaidi ya kuvaa mabomu ya kujitoa muhanga, utajizolea matakataka ya aina zote. Ni COCKTAIL ya mauchafu, yaani gundu, mikosi, laana, giza, mashetani nk.

Mnapokutana mnabadilishana nguvu za kiroho, kila mmoja anabeba vya mwenzake, hata mashetani yanahama kutoka pande zote.

Tena wale wenye MIHEMKO MIKALI ndio wabaya sana maana wanahamisha uchafu kisawasawa, unakuta majitu yanabomoana kama MAJEHU, wanatifuana haswaaaa, matokeo yake ni GUNDU PRO MAX.

Bora uwe na mtu mmoja au uache kabisa kutombana maana hata huyo mmoja kuna wakati anakuwa na mauchafu pia.

Cc: Lamomy Labella realMamy Kalpana Extrovert Bolotoba Intelligent businessman secretarybird mshamba_hachekwi Kijana masikini Dogoli kinyamkela Poor Brain Mbaga Jr Tlaatlaah
Sure ukutane na wale wanaong'ata sasa..wanakuachia ngeu na virusi juu..aaaghhhhh
 
Maana ukifanya Sana Ngono kujichua jaribu hata kujitazama katika kioo utaona jinsi unavyopoteza Nuru .
Kuna wale viumbe wanapenda kula ile energy ya kujichua, ni kama arosto ya bangi kwa teja. Au madawa ya kulevya sort of thing.

Unavyopiga nyeto unawalisha chakula vilivyo, wanashiba na kusaza huku wewe unabaki mtupu kama kopo, ndio maana unaona nuru yako inapotea maana imeliwa.

Hata ukitaka kuacha wanaingia kwenye akili yako kukuchagiza na kukushawishi ili waendelee kula.

Hata Ngono pia wanapenda kula nishati yake, it is a great source of food yaani tunawastawisha kweli kweli....
 
Back
Top Bottom