Tamama
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 887
- 1,106
Habar wakuu,
Nimesikia hii habari kuwa kwenye mahospital kuna dawa zinazotelewa kwa wahanga mfano watoto wanaobakwa kuzuia maambukiz ya vvu ambapo muhusika anatakiwa kutumia ndan ya masaa 72
Nasikia husaidia kuzuia maambukizi ya virusi na magonjwa mengine ya zinaa, je hili lina ukweli? Na inakuaje kwa muhitaji ambae si muhanga na garama zake zikoje
Nimesikia hii habari kuwa kwenye mahospital kuna dawa zinazotelewa kwa wahanga mfano watoto wanaobakwa kuzuia maambukiz ya vvu ambapo muhusika anatakiwa kutumia ndan ya masaa 72
Nasikia husaidia kuzuia maambukizi ya virusi na magonjwa mengine ya zinaa, je hili lina ukweli? Na inakuaje kwa muhitaji ambae si muhanga na garama zake zikoje