Ni kweli kuna dawa ya kuzuia maambukizi ya HIV ndani ya masaa 72?

Ni kweli kuna dawa ya kuzuia maambukizi ya HIV ndani ya masaa 72?

PEP au post-exposure prophylaxis kwa kimombo ni mojawapo ya ARTs nayo hu depress uongezekaji wa virusi vya ukimwi na ni 100% assured kuua kabisa virusi hivyo kama ikitumiwa ndani ya masaa 72 baada ya tendo ambalo unahisi si salama au kubakwa na sexual assault nyinginezo.......... Inatumika kwa siku 28 mara mbili kwa siku
..kwanini isubiri dharura tu?? JIBU. Virus vina uwezo wa ku i transcript dawa kama hizo ko mtu ukitumia mara mbili au tatu inageuzwa kua harmless katika mwili wako ko inashindwa kuwadhuru virusi hao...... Nahisi nimejibu swali lako kama bado unaeza uliza pia coz through questions u get to understand better
Jibu la kitaalam mkuu
 
Nilikua naomba swali niulize unaweza ukafanya mapenzi na muathirika na asikuambukize? Maana imepita mwez sasa toka nisex na mwanamke aliyeathirika hapa nilipo nina presha mpaka bac naombeni majibu jaman plz
chance ya mtu kupata ukimwi ni ndogo sana. ukitembea na mwanamke mwenye UKIMWI chance ni 0.04%. inamaanisha wanaume 10,000 wakitembea na watu wenye UKIMWI kwa njia ya kawaida ni 4 ndiyo watakao ambukizwa.
 
Nilikua naomba swali niulize unaweza ukafanya mapenzi na muathirika na asikuambukize? Maana imepita mwez sasa toka nisex na mwanamke aliyeathirika hapa nilipo nina presha mpaka bac naombeni majibu jaman plz
Mkuu seriosly unaweza ucpate inategemea ulifanyaje kama ulikurupuka ka kuku unaeza kua umeukwaa ila kiukweli ni vigumu sana mwanaume kupata ukimwi...... Ila kuna kaswali hapa we umejuaje kama kaathirika?????
 
IPO ni ya sindano inaitwa PEP ngoja wataalam waje waielezee vzr
Ni ya Vidonge, Inaitwa PEP...Unatumia Kwa Siku 28... Ni zile zile Dawa ambazo wanatumia Waathirika.

Haziuzwi, ila ukiweza kuongea na mfanyakazi yoyote wa Hospital...Anaweza kukufanyia mchongo wa kuzipata Kiujanja janja.
 
Kwanini hyo PEP isitumike kukinga watu wa kawaida why isubiri dharura tu?? Ndo maana Deception anasema huu ugonjwa fake
Hata wewe unaweza kuinywa tu...Ni vidonge, Kwa siku 28.... inatumiwa hata na Madaktari walioCOME into Contact na Damu au Majimaji ya mgonjwa wakt wakiwa wanatoa huduma,
 
Nilikua naomba swali niulize unaweza ukafanya mapenzi na muathirika na asikuambukize? Maana imepita mwez sasa toka nisex na mwanamke aliyeathirika hapa nilipo nina presha mpaka bac naombeni majibu jaman plz
Inawezekana kama Haikutokea Michubuko.
 
Ndio kama njia za maambukizi hazikujitokeza kama michubuko kat yenu.

Pia wanasema HIV+ anaetumia dawa anachance ndogo kumuuambikza mtu mwingine


Ila kama imefka 40yako kama ya mwiz linaweza kukuhusu


Nenda kapme upewe hzo dawa



ImooOoooooOooooooo
Ahahhahhha...eti Imoooooooo...hahhahaha
 
Inasemekana zile dawa ni kali sana sio salama kwa afya yako.
Basi kama usemacho ni kweli basi Hoja aliyowahi kuitoa Mr Deception itazidi kuwa sahihi kuwa hv dawa ARV ndizo hasaaa zinazodhuru watu baada ya kutumia kwa muda fulani
 
PEP au post-exposure prophylaxis kwa kimombo ni mojawapo ya ARTs nayo hu depress uongezekaji wa virusi vya ukimwi na ni 100% assured kuua kabisa virusi hivyo kama ikitumiwa ndani ya masaa 72 baada ya tendo ambalo unahisi si salama au kubakwa na sexual assault nyinginezo.......... Inatumika kwa siku 28 mara mbili kwa siku
..kwanini isubiri dharura tu?? JIBU. Virus vina uwezo wa ku i transcript dawa kama hizo ko mtu ukitumia mara mbili au tatu inageuzwa kua harmless katika mwili wako ko inashindwa kuwadhuru virusi hao...... Nahisi nimejibu swali lako kama bado unaeza uliza pia coz through questions u get to understand better
Asante sana mkuu kwa maelezo yako mazuri ningependa kupitia kwako niongeze machache
PEP ni huduma anayopewa mtu kwa ajili ya kzuia maambukiz kwa mtu aliecontact HIV na ktk huduma hii tunatumia first line ARV ambapo kwa current guidline ya hiv/aids management tunatumia dawa aina ya TLE na ni kidonge kimoja tu kwa siku na humezwa usiku kutokana na side effects zake esp. halucinations lkn kwa dozi ya kwanza unashauriwa upewe ndan ya 2hrs baada ya tukio na kama atachelewa asizid 72hrs beyond huo mda no need for PEP i mean u r almost done
 
Asante sana mkuu kwa maelezo yako mazuri ningependa kupitia kwako niongeze machache
PEP ni huduma anayopewa mtu kwa ajili ya kzuia maambukiz kwa mtu aliecontact HIV na ktk huduma hii tunatumia first line ARV ambapo kwa current guidline ya hiv/aids management tunatumia dawa aina ya TLE na ni kidonge kimoja tu kwa siku na humezwa usiku kutokana na side effects zake esp. halucinations lkn kwa dozi ya kwanza unashauriwa upewe ndan ya 2hrs baada ya tukio na kama atachelewa asizid 72hrs beyond huo mda no need for PEP i mean u r almost done
Em mkuu maelezo kidogo hapo kwanini inamezwa usiku?????
 
Na pia kuna hii pre-exposure prophylaxis... Ila jina la kuuzia n truvada ina lower chances za maambukizi ya ukimwi sio kinga ila inasaidia uwezekano wa kupata maambukizi hasa kama unaishi mazingira ambayo si salama na pia madaktari wanaohudumia wagonjwa wa ukimwi hutumia hii ili kujikinga
Nowdays truvada has been phased out from this use coz arv regimen requires three or more fixed dose combination na truvada ina ni combination ya dawa mbili tu hvyo wakapendekza tle and it is doing better
 
Inasemekana zile dawa ni kali sana sio salama kwa afya yako.
Dawa hizi siyo kwamba ni kali. Ila ni very expensive. Na kwa taarifa yako hizi dawa ukija kwangu umefanya ngano zembe si kupi. Ajali ambazo tunatoa hizi dawa ni Kwa mfano kubakwa, kujichoma na sindano hasa kwa watu wa afya n.k. Ngono zembe siyo components za pep. Jikinge kwa kutumia condom
 
Em mkuu maelezo kidogo hapo kwanini inamezwa usiku?????
Hii kitu imecontain effavirence na huwa inasababshaga vivid dreams, nightmares dizzness na halucinations hvyo ikimezwa mchana mtu atashndwa kuendelea na shughuli zake kwahyo tunashaur imezwe usiku ili hayo manjoz na kucnzia kuktokea kukukute usngzin akiamka asbuh na yenyew yameshaisha anaendelea na kaz zake km kawaida
 
Dawa hizi siyo kwamba ni kali. Ila ni very expensive. Na kwa taarifa yako hizi dawa ukija kwangu umefanya ngano zembe si kupi. Ajali ambazo tunatoa hizi dawa ni Kwa mfano kubakwa, kujichoma na sindano hasa kwa watu wa afya n.k. Ngono zembe siyo components za pep. Jikinge kwa kutumia condom
Hahahahah doctor ety ukija sikupi....... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nashukuru mkuu kwa kuniongezea ufahamu
 
Nilikua naomba swali niulize unaweza ukafanya mapenzi na muathirika na asikuambukize? Maana imepita mwez sasa toka nisex na mwanamke aliyeathirika hapa nilipo nina presha mpaka bac naombeni majibu jaman plz
mkuu acha presha bhana kwani ulivyokua unafanya ulitegemea nini
 
chance ya mtu kupata ukimwi ni ndogo sana. ukitembea na mwanamke mwenye UKIMWI chance ni 0.04%. inamaanisha wanaume 10,000 wakitembea na watu wenye UKIMWI kwa njia ya kawaida ni 4 ndiyo watakao ambukizwa.
Hizi takwimu ni zakweli ndugu yangu????? Maana huu ugonjwa unahitaji elimu pana.
 
Hizi takwimu ni zakweli ndugu yangu????? Maana huu ugonjwa unahitaji elimu pana.
Inawezekana mana wanasema maambukizi mapya yanapungua kila siku, labda watu wanajikinga pia tofauti na zaman
 
Ila hz PEP sio za mchezo ukubaliane na kuharisha bila kikomo wengi hutumia ila huishia njiani
 
Hata wewe unaweza kuinywa tu...Ni vidonge, Kwa siku 28.... inatumiwa hata na Madaktari walioCOME into Contact na Damu au Majimaji ya mgonjwa wakt wakiwa wanatoa huduma,
Ili ainywe lazima iwe ndani ya masaa 72 baada ya exposure, pia ni lazima apime ili kuhakikisha kuwa hana maambukizi. Dawa hizo zina side effects kibao na nyengine ni severe, binafsi nilishakutana na watu walioshindwa kukamilisha hizo siku 28 kutokana na hizo side effects. It's no joke!
 
Back
Top Bottom