MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,363
Siyo sindano ni vidonge,na kwa yule tu ambaye ni HIV negative na amekwenda kupata Huduma ndani ya saa 72 toka tukio lilipo tokeaIPO ni ya sindano inaitwa PEP ngoja wataalam waje waielezee vzr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo sindano ni vidonge,na kwa yule tu ambaye ni HIV negative na amekwenda kupata Huduma ndani ya saa 72 toka tukio lilipo tokeaIPO ni ya sindano inaitwa PEP ngoja wataalam waje waielezee vzr
Siyo Kali na ni salama kwa afya ya binadamuInasemekana zile dawa ni kali sana sio salama kwa afya yako.
PEP n post bwana hekimatele ani as inavojieleza post exposure baada ya kuji expose katika maambukizi........ Ila pia kuna PRE ambayo so far naijua ni iyo truvada iyo ni kabla ya kua exposed katika maambukizi ukitumia iyo chances za kupata maambukizi zinakua ndogo sanaMnanichanganya sasa. Mwingine anasema PEP ni Post mwingine anasema ni Pre exposure prophylaxis. Nichukue IPI sasa?
IPO ni ya sindano inaitwa PEP ngoja wataalam waje waielezee vzr
Tunashukuru kwa maarifa kaka ,ila Naomba ufafunuzi kidogo truvada ipoje na yenyewePEP n post bwana hekimatele ani as inavojieleza post exposure baada ya kuji expose katika maambukizi........ Ila pia kuna PRE ambayo so far naijua ni iyo truvada iyo ni kabla ya kua exposed katika maambukizi ukitumia iyo chances za kupata maambukizi zinakua ndogo sana
Na ulinyonya na matiti yao?Usiogope miye nishagonga Peku wanawake tisa na wote Affected but nilivyoenda kupima Negative.
Kati yao Wanne nishawazika...
Chamsingi hakikisha Papuchi kwakila Goli ina Unyevu wakutosha kabla hujamkandamiza DUSHELE..
Mm pia nishagonga na ni mzima wa afya, nishapima hawamu tati sina ugonjwaNa ulinyonya na matiti yao?
Habari,Habar wakuu,
Nimesikia hii habari kuwa kwenye mahospital kuna dawa zinazotelewa kwa wahanga mfano watoto wanaobakwa kuzuia maambukiz ya vvu ambapo muhusika anatakiwa kutumia ndan ya masaa 72
Nasikia husaidia kuzuia maambukizi ya virusi na magonjwa mengine ya zinaa, je hili lina ukweli? Na inakuaje kwa muhitaji ambae si muhanga na garama zake zikoje
Mkuu ukimaliza hizo pep kwa huo mwez ukapima labd after 1week upo negative je inakua na % ngap kuwa umenusurika?Ili ainywe lazima iwe ndani ya masaa 72 baada ya exposure, pia ni lazima apime ili kuhakikisha kuwa hana maambukizi. Dawa hizo zina side effects kibao na nyengine ni severe, binafsi nilishakutana na watu walioshindwa kukamilisha hizo siku 28 kutokana na hizo side effects. It's no joke!
[emoji477]️[emoji477]️ jichanganyeUsiogope miye nishagonga Peku wanawake tisa na wote Affected but nilivyoenda kupima Negative.
Kati yao Wanne nishawazika...
Chamsingi hakikisha Papuchi kwakila Goli ina Unyevu wakutosha kabla hujamkandamiza DUSHELE..